Wanawake wengi hawajui kinachoendelea nchini na duniani

Wanawake wengi hawajui kinachoendelea nchini na duniani

Inatisha. Niliwahi kusafiri nikafikia kwa jamaa yangu ni relative. Kajenga nyumba nzuri jamaa ni mtu wa hustle sana. Kwa siku chache nilizokaa pale, hakuna siku tuliangalia taarifa ya habari, kwa sababu jamaa huwa anarudi kwa kuchelewa kama ujuavyo jiji la Dar. So shemeji na wote waliopo home ni mwendo wa tamthilia, wote wanahamia sebuleni kuangalia. Hata ratiba ya kusali ibada haipo. Nawashangaa sana wanawake
Jomba unawashangaa watu wanaoishi mjengoni?
 
Uwezo wa kuchambua mambo hauna uhusiano na elimu yako, utajua terminologies za kiafya(down syndrome) nitajua za kisheria(malice aforethought), maisha ndivyo yalivyo!

Hata mimi nikija hapa na ma-activist na ma theorists kama Herbert spencer, August comte, frantz fanonz, karl max na max weber, sio kila mtu kawasikia we ukija na kina charles darwin sjui gregor mendel isaac newton mi pia siwasiwajui.
Uko nondo, ila nikikusoma kupitia maandishi yako nabaini una ukorofi kiaina.
 
Wewe ni mtu usiye na shukrani kabisa na hufai kukaribishwa popote. Huyo mke wa jamaa asingekuwa mwema hata siku 1 tu usingekaa hapo. Unafikia hatua ya kusema jamaa hana mke kisa tu anaangalia tamthlia? Jitahidi upambane na umaskini ili usiwe unafikia kwa watu.
Nilifikia hotel ila jamaa akaniomba nikakae kwake ni mwanangu sana sikuwa na sababu ya kukataa
 
Sio wote mkuu,

kuna mademu wanajua kila kitu huwadanganyi ...mfano
Ujue kuna wanawake mpaka wana_bet wanachambua odds kama hawana akili timamu
Mkuu kubeti nako ni akili? Aisee kazi ipo wajameni. Mfano mimi hapa sijui kubeti wala kucheza bonanza sijui wala sina muda nayo lakini kuna madogo wa darasa la pili wanajua kucheza bonanza kwanini?

Ila kwa comment yako nimekushangaa sana mkuu
 
Back
Top Bottom