Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,692
- 91,597
Mbona wanafuatilia Diamond kamla nani au Zuchu kaliwa na nani?! Mbona wanafuatilia mtoto Jux na Priscilla? Mbona wanafuatilia ugoro wa Simba na Yanga wa akina Mangungu na Ali Kamwe?Kujua mambo mengi yasiyokusaidia kuongeza kipato ni ujinga kama ujinga mwingine.
Mfano unajiangaisha kujua mambo ya sayari, mara mambo ya vita ya Ukraine, mara ujiangaishe kujua ya mipira ,uje tena ujiangaishe na mambo ya siasa huo muda wote utaupata wapi zaidi ya kujitia stress tu, bora upambane kujua mambo ya field yako angalau itakujengea heshima.
Haya yanawasaidiaje kuongeza kipato?