secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,527
- 29,168
Fact 😂.Maumivu yake ni zaidi ya aliyopata Mbowe kwa kunyang'anywa ulaji na mnyampaa.
Fact 😂.Maumivu yake ni zaidi ya aliyopata Mbowe kwa kunyang'anywa ulaji na mnyampaa.
Sio kweli kuwa ni janga la Dunia. Statistic inaonesha kwa miaka ya karibuni Wanawake wa Uingereza ndio wanaoongoza kuwa active katika Sports kuliko Wanaume, na ni kuanzia 2005Kuna mabinti, wanawake na madem wengi wanachosha kuzungumza nao.
Hawana uelewa wa kinachoendelea nchini, duniani, kwenye tech, siasa, uchumi na biashara wala mada pana.
Mazungumzo yao ni kuhusu drama za celebrities kama kina Diamond na Zuchu. Kutwa kufuatilia watoto wa Paula na Marioo.
Halafu hawafanyii kazi ndoto zao, kwao ni jukumu la mwanaume kuzitimiza.
Mtu hana muda hata wa kufuatilia taarifa ya habari hadi unajiuliza anaishije huyu yaani yeye tamthilia tamthilia na yeye.
Wanafurahi kukomenti kwenye page za umbea wapate likes.
Hata ukimchukua mwanamke aliyesoma ukimtoa nje ya field yake hakuna kingine anachojua zaidi ya umbea.
Mfano mzuri ni hapa JF ingia majukwaa ya tech, intelligence, great thinkers, kimataifa, siasa, ajira na tenda, afya huwezi kukuta mwanamke anacomment cha maana. Ila ingia mada za umbea na ngono MMU wako active
Na hili sio janga la Tanzania tu ni dunia nzima wanawake uwezo wao wa kuchambua mambo mapana ni mdogo sana na wengi hawajui chochote kwenye hii dunia wapowapo tu.
Ni jambo la kushukuru sana kuzaliwa wanaume
Na mademu wa mfumo huo ukijichanga akawa baby wako ,sio shida zake kuwasimulia majirani vile unakula sana ,mara hupendi kuoga yaani ni shida sana
Kwa uelewa wangu hizi 👇ni baadhi ya njia za kupima uwezo mdogo wa mambo.Uwezo mdogo unapimwa na kitu gani?
Kwa hiyo wewe unaamini una uwezo wa kuchambua mambo ya maana kuliko wanawake wote humu?Kwa uelewa wangu hizi 👇ni baadhi ya njia za kupima uwezo mdogo wa mambo.
1.vipimo vya mantiki (reasoning test).
2. Vipomo vya kumbukumbu (memory test).
3. Vipimo vya utendaji wa akili(executive function test).
4. Uwezo wa kufuatilia ama kutofuatilia mambo (attention and concentration).
Hapana, ndiyo maana nimesema 'baadhi' ukilinganisha na wanaume. Kuna wanawake wako vizuri sana kwenye kuchanganua mambo na kuna wanaume wanauwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo.Kwa hiyo wewe unaamini una uwezo wa kuchambua mambo ya maana kuliko wanawake wote humu?
Hivyo umekubaliana na mtoa mada kuwa kapuyanga?Hapana, ndiyo maana nimesema 'baadhi' ukilinganisha na wanaume. Kuna wanawake wako vizuri sana kwenye kuchanganua mambo na kuna wanaume wanauwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo.
Wanaume wengi wanapooa wanawake huwa wanafanya trade-offs, wanakubali kukosa mambo fulani na kupata mambo fulani, inawezekana huyo shem mke wa jamaa yako ni mrembo sana au ana makalio makubwa kwa hiyo mshikaji amemkubali hivyo hivyo pamoja na akili zake ndogo ili watumie za kwake mwanaume tu lakini yeye afurahie uzuri wake au makalio yake.Ilinikuta hii miezi kadhaa mwaka jana na mwana tunapiga naye project mkoa aliopo nikafikia kwake
Kmmk niliangalia tamthilia za bongo na za mbele mpaka zote nikanza kuzikariri, muda wake na mastaa. Nasikitika mpaka kidume nikaanza kufuatilia kombolela na vacation huwa najilaumu mpaka leo
Yule shemu alikuwa akishika remote yaani kuanzia saa 1 usiku ni tamthilia tu, usiku saa 4 anamalizia Ousmane Bey hadi saa 5 anaenda kulala. Jamaa mke hana
Miezi 3 sebuleni ni Evermore, My love is your fortune na takataka zingine
Nashukuru tulimaliza ile project na jamaa nikawaacha na mitamthilia yao
Ndiyo kwa sababu, huwa ninaamini kuwa hakuna mtu aliyezaliwa akiwa na akili kuwazidi watu wengine. Malezi, mazingira, jitihada, na jinsi mtu anavyojishape ndivyo hufanya mtu mmoja aonekane kuwa na akili kuliko mwingine.Hivyo umekubaliana na mtoa mada kuwa kapuyanga?
NimekuelewaNdiyo kwa sababu, huwa ninaamini kuwa hakuna mtu aliyezaliwa akiwa na akili kuwazidi watu wengine. Malezi, mazingira, jitihada, na jinsi mtu anavyojishape ndivyo hufanya mtu mmoja aonekane kuwa na akili kuliko mwingine.
'Wanaume wengi' wanauwezo wa kuchanganua mambo kutokana na jinsi walivyolelewe (jinsi walivyoaminishwa na jamii) na jinsi wanavyojiweka.
Kuna watu wanazaliwa na akili kuwazidi watu wengine.Ndiyo kwa sababu, huwa ninaamini kuwa hakuna mtu aliyezaliwa akiwa na akili kuwazidi watu wengine. Malezi, mazingira, jitihada, na jinsi mtu anavyojishape ndivyo hufanya mtu mmoja aonekane kuwa na akili kuliko mwingine.
'Wanaume wengi' wanauwezo wa kuchanganua mambo kutokana na jinsi walivyolelewe (jinsi walivyoaminishwa na jamii) na jinsi wanavyojiweka.
Sasa alikuwa anajua nini?Bora hata hao wanaojua umbea wa kina diamond,niliwah kuwa na mwanamke hajui hayo ya kiinchi wala kidunia,yaan hata wasanii wengi hawajui,drama zao tu hata za zaman hazijui
NIlichoka,kuna wakat kwenye story nataka kuweka reference lakin mwenzangu hana anachojua
Cocastic, kichwa chako kinawaza mashoga tu muda wote😂😂😂😂😂😂😂 mbona ku resit.
Kumbe ni kweli njembaz wanaumia kuona Demu au Gay anabaruza kwenye Elimu.
😂😂😂😂😂
Alikuwa wa kijijin afu ana simu ya kitochi,nyimbo alizokuwa anazijua ni za gospel tuSasa alikuwa anajua nini?
Au labda alikuwa ni mwanamke wa kijijini asiye hata na smartphone kwa hiyo ilibidi umvumilie tu azinduke au azinduliwe.
Huyo ulitakiwa sasa umtunze na umfundishe mambo ya mjini, angekuheshimu na kukupenda siku zote mpaka uchanganyikiwe kwa mahaba.Alikuwa wa kijijin afu ana simu ya kitochi,nyimbo alizokuwa anazijua ni za gospel tu
aFu sasa alikuwa anajifanya hata hatak kuyajua mambo mengi yaan utazan mzee wakat alikuwa binti mdogo tuHuyo ulitakiwa sasa umtunze na umfundishe mambo ya mjini, angekuheshimu na kukupenda siku zote mpaka uchanganyikiwe kwa mahaba.
Sidhani kama ni kweli. Kama ni kweli Kwa nini waafrika tunaonekana hatuna akili (hatujafanya gunduzi nyingi), au wenye akili wanazaliwa tu nje ya afrika?Kuna watu wanazaliwa na akili kuwazidi watu wengine.