Wanawake wengi hawajui kinachoendelea nchini na duniani

Wanawake wengi hawajui kinachoendelea nchini na duniani

Halafu kila siku mnalalamika humu kua wanawake wasomi hua hawaolewi kwa ujuaji wao,mara Wanawake matajiri hua hawaolewi!

Mnawachanganya hao wanawake mpaka hawajui sasa washike lipi hasa,

Mara Mwanamke akiwa kiongozi mnalalamika,mara wengine wadai kua raha ya Mwanamke asijue mambo mengi,

Vipi kama na wao wakilalamika kua sisi Wanaume hatufuatilii mambo ya umbea,watakua wapo sahihi?

Acha kila mtu afuatilie issue ambazo yupo interested nazo,utofauti wetu na wao ndio unaifanya Dunia kua hivi,hatuwezi kufanana kwa kila jambo,

Love the life you live
Live the life you love.
Wanataka tuwe serious sana na maisha! Wanawake tukijua yanayoendelea duniani yanatusaidia nini? Nyie wanaume siasa mpaka sasa zimewasaidia wapi😁
 
Kuna mmoja ni civil engineer nilimkuta kwenye mradi wa ujenzi wa barabara mtoto kala vumbi la hatari

Hata mume au watoto wake wakipita wakamuona lazima wabubujikwe machozi

Kwenye kozi ngumu za engineering ikifika muda wa kuingia field kwenye kazi kikweli huwa mnatia huruma sana

Ukweli usemwe zile mbanga zimekaa kiume
hivi field ya Civil ni ngumu? Kuliko ya Mechanical??.
Acha masikhara wee ujuee, Khaaah..
Watu wanabaruzaa ile ileee.
 
Hoja zenye mashiko ndio kuchambua siasa? Binafsi sipo kwenye hizo platform umeorodhesha hapo juu lakini sio sababu ya kuanza kuchambua mpira wala vipindi vya mahojiano!

Kuchangia mada za hapa jf wengine tunajifurahisha tu na in real life we are totally different people! Kwahiyo we ukiona mtu kakaa kimya anasoma tu ndio mwanamke unaemdhani unafeli bruh! Kujua personality ya mtu kwa kutumia hivyo vigezo vyako kwa hapa, utakwama kijana!
Umenena vyema .....
Natamani nim tag boss wangu hapa yuko jf ni mwanamke huku anashinda mmu ila in real life ni mtu na nusu.
 
Kuna mmoja ni civil engineer nilimkuta kwenye mradi wa ujenzi wa barabara mtoto kala vumbi la hatari

Hata mume au watoto wake wakipita wakamuona lazima wabubujikwe machozi

Kwenye kozi ngumu za engineering ikifika muda wa kuingia field kwenye kazi kikweli huwa mnatia huruma sana

Ukweli usemwe zile mbanga zimekaa kiume
Never ever in ma life nitatamani position za wanaume eti nionekane intelligent woman, kama wao wanaweza kazi ngumu wengine tuko competent kwenye biashara and so forth!

Matokeo yake ukimfokea au ukimpiga anashangaa unashangaa nini ss unataka wote tuwe wachambuzi wa mambo magumu😎
 
Siku hizi hadi mashoga tena wale walio kike haswaa, wamepiga Engineering na MD hukooo.
Na Hawana habari wala nini. 😂😂😂😂😂

Ila straight uchwaraaa, kwa kupenda kujikwezaa, yaani hawajiaminii kabisaa
Huwa inauma kinoma demu mkali balaa ila anakimbiza kwenye Computer Engineering. Huko O na A levels kakichafua balaa. Mambo yamebadilika. Unakuta njemba ina-risit Geography na Kiswahili form four.
 
Never ever in ma life nitatamani position za wanaume eti nionekane intelligent woman, kama wao wanaweza kazi ngumu wengine tuko competent kwenye biashara and so forth!

Matokeo yake ukimfokea au ukimpiga anashangaa unashangaa nini ss unataka wote tuwe wachambuzi wa mabo magumu😎
Wapo watu kama kina Jadda dada yake kiranga
 
Mimi napinga, hii ni Kwa Tanzania tuu ila mataifa ya wenzetu wanawake wako front Sana na wanaharakati kwelikweli, refer maandamano ya Iran, US na nchi za Europe utaelewa hili, Tena TZ Hata vijana walio wengi Bado hawaaja amka
 
hivi field ya Civil ni ngumu? Kuliko ya Mechanical??.
Acha masikhara wee ujuee, Khaaah..
Watu wanabaruzaa ile ileee.
Mechanical ni mziki haya sasa tuseme kwa mfano binti kamaliza masomo hayo anaingia kupiga kazi

Mechanical imekaa kiume sana inataka mtu mwenye muscles kiaina mademu ambao ni mechanical engineers wakiingia kazini kazi nyingi husaidiwa na wanaume
 
Huwa inauma kinoma demu mkali balaa ila anakimbiza kwenye Computer Engineering. Huko O na A levels kakichafua balaa. Mambo yamebadilika. Unakuta njemba ina-risit Geography na Kiswahili form four.
😂😂😂😂😂😂😂 mbona ku resit.
Kumbe ni kweli njembaz wanaumia kuona Demu au Gay anabaruza kwenye Elimu.
😂😂😂😂😂
 
Hii mentality kumbe iko wazi kweli?? Najuaga ni baadhi ya watu.
Ko hata Feminine Gay, akipiga Engineering au MD bas ni ajabuu??
😂😂😂😂 hii nchi ime corrupt, sio bureee.

Hyo si mentality, Ni Tamaduni za wanawake wenyewe.

Ni viumbe ambavyo havitaki kuchosha akili wala Mwili(Sio kwamba hawana akili). Hii inawafanya wachague njia rahisi kila wapatapo nafasi ya kufanya machaguo.

Sasa kama MD anaanza na salary ya 1.5M na kasoma 5years, Na HR anaanza na salary ya 1.3M na anasoma 3years we unazani mwanamke anasababu gani kwenda kusoma MD?

Na hivo ndo choices za wanawake zilivo, Hana sababu ya kuanza kufight na Mwanaume kujenge uchumi from scratch wakati wanaume walio jipambania na kujipata wapo.
 
Back
Top Bottom