Lady Masai
Member
- Apr 16, 2013
- 13
- 0
urefu ama ufupi unahusika vipi wajameni kwenye mapenzi? hizo mara mwanaume mrefu for show off and what is the outcome of that show off?!
Akina dada mnasemaje hapo!View attachment 108402
Huli chakula, hulali, na hufanyi cha maana kazi kukaa na kumfikiria yule mtu anayekukwaza rohoni, ukimuona tu basi na nafsi yako inapona. Ila baada ya muda unamchoka na kuanza kujirusha na mwingine ama wengine ili upate tu kufurahisha nafsi yako. Hivyo kwa kifupi, kupenda ni kitu cha muda then baada ya kupata kile ukitakacho ndipo unatafuta njia mbadala kama ilivyo kwa watu wengi hapa Bongo kumiliki nyumba ndogo hata kama mtu hana uwezo.
Haya ni maradhi ndugu yangu
Sio upendo!!!!!!
Hapo kwenye red, umenikumbusha mbali ...."ALL OTHER FCTORS REMAIN CONSTANT"
wewe utakuwa mfupi bila shaka....99% sure of it
duuh wafupi imekula kwetu eeh
Hata me napenda mwanaume mrefu wafupi amna mvuto...
Hata me napenda mwanaume mrefu wafupi amna mvuto...
napenda wanaume warefu....I find them so SEXY.......