Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

kama hasheem. lol

Heheh...haya basi endelea kusubiri tu shem maana hadi sasa hapa bongo hakuna mrefu kama hasheem labda uangaze huko Sudan au Senegal ndio kuna type kama zake
 
Heheh...haya basi endelea kusubiri tu shem maana hadi sasa hapa bongo hakuna mrefu kama hasheem labda uangaze huko Sudan au Senegal ndio kuna type kama zake

hahahhaa, wacha tu nisubiri shem ila naamini atatokea. lol
 
Akina dada mnasemaje hapo! uploadfromtaptalk1377159444208.jpg
 
Hapa urefu unaoongelewa ni ule wa kwenda mbele yaani urefu wa mbooga za majni..
Cyo urefu wa kwenda ju!
 
Kuwa pamoja haina maana ndicho alichotaka,wapo waliotaka warefu wenzao ila akaishia kupata mfupi ila factor nyngine zikampa kutoona ule ufupi so unakosea sana ukiconclude kwa ulichokiona maana hujui ukweli wake kwa vile wewe sio muhusika wa hao wawili
 
Maduu wanavutiwa na men warefu under ceteris peribus/if other factors remain constant. Mambo ya urefu na ufupi huja kufutika when other factors varies na hizo variable factors ni kama ucheshi, unadhifu, mkwanja, uelewa nakadhaa.
 
Kuna utafiti pia unaonyesha asilimia kubwa ya wanaume warefu wachovu kitandani.

Tatizo siyo ufupi ila kujikunja, ndiyo maana wanasema wavivu, ila ukipata wa size ya kati ambaye si mrefu wala mfupi anakuwa perfect sana katika safu ya ushambuliaji na ukabaji even kufunga bao wanakuwa na ufundi mkubwa sana.
 
Shemeg yaani hivi hivi nilivyo napendwaje...nkitaka kunanilihuuu basi huwa napanda kwa kistuli wenyewe tunakiita "kistuli mahaba"

Hahahahaaaaaaaaa!!! hapo nilipobold je katika ku do, ukapewa ile stail ya kuchuma ----!!! halafu ukawa unaletewa moto, ihali wewe umesimama, si unaweza ukabiruka na stuli yako, ikawa dhahama hapo. mambo yakabadilika ikawa kilio cha kuvunjika mgongo, Loh!!!
 
Tatizo siyo ufupi ila kujikunja, ndiyo maana wanasema wavivu, ila ukipata wa size ya kati ambaye si mrefu wala mfupi anakuwa perfect sana katika safu ya ushambuliaji na ukabaji even kufunga bao wanakuwa na ufundi mkubwa sana.

Loh!! Tangu niwe mwanachama wa hili jukwaa, nimegundua hii kozi ya mahusiano aina mwisho. kila kukicha nakutana na mapya. ki ukweli kabisa mwanachama wa jukwaa hili anapata faida kubwa sana katika maisha yake.
 
Hahahahaaaaaaaaa!!! hapo nilipobold je katika ku do, ukapewa ile stail ya kuchuma ----!!! halafu ukawa unaletewa moto, ihali wewe umesimama, si unaweza ukabiruka na stuli yako, ikawa dhahama hapo. mambo yakabadilika ikawa kilio cha kuvunjika mgongo, Loh!!!

hahaha hilo haliwezikutokea kamwe...hicho "kistuli mahaba" kilitengenezwa kwa kalukulesheni nzuri kiasi kwamba huwa hakitetereki kamwe...
halafu we binti ndio nini kunipandisha minanilihuuu muda kama huu, wantajia mambo adimu hayo atiii maana huwa napewa mauno ya haja kwa hiyo staili ya palizi la kwanza
 
Loh!! Tangu niwe mwanachama wa hili jukwaa, nimegundua hii kozi ya mahusiano aina mwisho. kila kukicha nakutana na mapya. ki ukweli kabisa mwanachama wa jukwaa hili anapata faida kubwa sana katika maisha yake.
Mbona umeshangaa sana, nisemayo ni kweli wanaume warefu hawawezi kujikunja kunako majambozi, ila wa size ya kati na wafupi wako perfect sana, hadi unasikia raha na ladha ya tendo lenyewe, maana huwa hawatulii sehemu moja na wanaweza kufanya matendo matatu kwa wakati mmoja.(yaani anashambulia, anakiss na -----).
 
Back
Top Bottom