Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

==>> Wanaume wafupi
1: HAWANA MVUTO... hiki ni kitu muhimu sana kwa mapenzi...APPEARANCE IS ALL...
2: WANA WIVUUU
3: WANA MANENO MENGIII KAMA WANAWAKE WA SALOON
4: HAWAJIAMINI KABISA...HASA KTK MASWALA YA MAPENZI kwani anajua udhaifu wa umbo lake...hivyo hulinda udhaifu wake kwa kwa maneno mengi ya kujisifiaaa...kumlinda kwa wivuu mkeo...na kujifanya anaweza kila kitu...anavaaa kiatu soli nchi 5 kuongeza urefuuu...

5: HUPENDA KUJISIFIAAA KILA MARA ILI KULINDA UDHAIFU WAKE wa ufupi....


===>> MWANAUME MREFU ndio mpango mzima....
WE TALL MEN huwa hatuongee....TUNAUZIKA TU NATURALLY.....ALAFU POCHI UWE NAYO...THEN UWE KAMA WAIRAQ wa Arusha hivi...kama Ethiopian vile...WANAWAKE UTAWAKIMBIA....wengi hata wana kutaka bure tu kuwapa kampani...wengine unakula bureeee....but WATCH OUT....PIGA MAENDELEO...mapenzi yafuate..not vice versa...
 
Cha kwanza wanawake wanapenda mwanaume mwenye uchumi mzuri. Lakini linalokaribiana sana na hilo ni HAIBA na kwa wanachopenda wanawake kwenye haiba ya mwanaume ni urefu!. Kutoka uzoefu wangu Mimi ninayeandika hapa ni mrefu na kwa kusema kweli mke wangu wana muonea gere kwelikweli nami pia najitahidi kujizuia na temptations!

That's right! Mwanaume mrefu ana mvuto kuliko mfupi!!!!! Nyie wafupi msitubishie sisi wanawake! Tunajua nn kinatuvutia, msitupangie nani Ana mvuto kwetu, kubalini na ukijiona we ni shotii soma kwa bidii tafuta hela kwa bidii utapata wanaopenda pesa!
Hamna haja ya kujiskia vibaya, kwani wanawake tupo wengi, hata ukiwa chongo utapata tu!
Poleni kwa ukweli huu!
 
==>> Wanaume wafupi
1: HAWANA MVUTO... hiki ni kitu muhimu sana kwa mapenzi...APPEARANCE IS ALL...
2: WANA WIVUUU
3: WANA MANENO MENGIII KAMA WANAWAKE WA SALOON
4: HAWAJIAMINI KABISA...HASA KTK MASWALA YA MAPENZI kwani anajua udhaifu wa umbo lake...hivyo hulinda udhaifu wake kwa kwa maneno mengi ya kujisifiaaa...kumlinda kwa wivuu mkeo...na kujifanya anaweza kila kitu...anavaaa kiatu soli nchi 5 kuongeza urefuuu...

5: HUPENDA KUJISIFIAAA KILA MARA ILI KULINDA UDHAIFU WAKE wa ufupi....


===>> MWANAUME MREFU ndio mpango mzima....
WE TALL MEN huwa hatuongee....TUNAUZIKA TU NATURALLY.....ALAFU POCHI UWE NAYO...THEN UWE KAMA WAIRAQ wa Arusha hivi...kama Ethiopian vile...WANAWAKE UTAWAKIMBIA....wengi hata wana kutaka bure tu kuwapa kampani...wengine unakula bureeee....but WATCH OUT....PIGA MAENDELEO...mapenzi yafuate..not vice versa...

Well said Mr President! uko na confidence mbaya! Ukituona na wafupi ni kwamba hiyo ni second selection!
 
Hivi hakuna dawa ya kuongeza urefu wasaidiwe wenzetu wafupi ????
 
Mtoro hapo hujawaelewa,ufupi sio kimuonekano tu,bali ni UREFU wa MPINI that's all

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
kumbe sisi wafupi ni fungu la kukosa...dah!

dani safari hii wafupi kazi 2nayo,cjui nihame nchi?!lkn hapana,ngoja ntafute umatemate watajileta!au cjui nikatambikie mzimuni?!....ila umatemate ndo dawa yao,...,afu takwimu za sensa znanipa mahope ileile,kwamba nyama nying walaji wachache.,mbona anko angu mfupii..,aunt mrefuu km hoyce temu!....,sorry wadau ni mawazo binafsi2.,napita2!
 
Scale Of Preferances, Kwa Wanawake Hazifanani.... Mwanzoni Nilidhani Ni Ubaguzi Wao, Kumbe Ni Nature Yao.

Ndio Maana Wapo Wapenda Umbo, Wengine Sura, Wengine, Rangi, Wengine Mkwanja, Wengine Status, Wengine Kabila, Wengine Dini... Nk,

Yaani Kwa Kifupi, Hawa Akina 'HAWA' hawana specific formula ktk kupenda.

ila ushauri kwa akina 'ADAMU', JITAHIDI uwe na shughuli PEVU kwenye 6X6, Ukilidhibiti Hilo, HAWAFURUKUTI NG'O!!
 
Under ceteris peribus you might be right, again under mutatis mutandis you might be right. The contrary might also be right as well.

Ukweli unategemea unazungumzia nini au kipi kwenye bahari ya 'Love'.

Hapo kwenye red, umenikumbusha mbali ...."ALL OTHER FCTORS REMAIN CONSTANT"
 
hahahaha, nyie wafupi mlie tu. ila sist wangu si anakupenda hivyo hivyo ulivyo shemeg?

Shemeg yaani hivi hivi nilivyo napendwaje...nkitaka kunanilihuuu basi huwa napanda kwa kistuli wenyewe tunakiita "kistuli mahaba"
 
Shemeg yaani hivi hivi nilivyo napendwaje...nkitaka kunanilihuuu basi huwa napanda kwa kistuli wenyewe tunakiita "kistuli mahaba"

hahahahhaha, kila shetani na mbuyu wake shem. kama sist wangu akupenda hivyo we kula raha. ila mie mwanaume mrefu halafu mweusi ananikoshaje jamani (other factors remain constant). lol
 
ila mie mwanaume mrefu halafu mweusi ananikoshaje jamani (other factors remain constant). lol

Lakini shem huo urefu mnaouzungumzia ni urefu upi atiii? sentimeta ngapi? au yoyote tu yule aliokuzidi urefu
 
Back
Top Bottom