Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

...i am thinking of bending to have a kiss from shotiii aka kinukta du
 
Heri ya huyu anawatangazia wanaume vi VITS kwake awana nafasi.
uploadfromtaptalk1377087884265.jpg
Wanawake wengi wanapenda namna hii
uploadfromtaptalk1377088068806.jpg
 
Ufupi mnaozungumzia hapa ni upi? Huu wa kina andunje,ukwi na ukwa au wa kina emolo? Ebu choreni mstari mfupi anakuwa below cm ngapi?
 
Umeonaeee! Vifupi utavijua tu!
Wenyewe wametudondoshea uzi huku wakijipa matumaini! Tena wanazuga eti hela ndio mpango! Sikatai but- Mfupi + hela = buzi, while Mrefu + hela = lihensamu!
Warefu oyeee?

Masikini,wahurumieni wenzenu, teh teh
 
Inategemea ntu na ntu...................ingawa navyosikia wale warefu na wasio na ------,wanakuwa na dudeeeee lakutosha.
Navyosikia nimesema......................teh teh
 
Titaisabu maoni ya akina dada kana 50 hivi halafu tutaangalia "preferences" hakuna haja ya kuomba hela COSTECH juu ya uchunguzi huu.!!!!!!
 
Masikini,wahurumieni wenzenu, teh teh

Amelianzisha makusudi ngoja sasa awachongee wenzake! Kusema za ukweli namshukuru Mungu kwa kuniumba mwanaume mrefu, kila siku nafarijika kwa namna nilivyo, ila sina tatizo na wanaume wafupi kwani nao wana talent zao! yote hii ni kazi yake manani wala hakuna aliejaza "fomu ya kuchagua kimo"
 
Hivi kupenda maana yake nini?



Huli chakula, hulali, na hufanyi cha maana kazi kukaa na kumfikiria yule mtu anayekukwaza rohoni, ukimuona tu basi na nafsi yako inapona. Ila baada ya muda unamchoka na kuanza kujirusha na mwingine ama wengine ili upate tu kufurahisha nafsi yako. Hivyo kwa kifupi, kupenda ni kitu cha muda then baada ya kupata kile ukitakacho ndipo unatafuta njia mbadala kama ilivyo kwa watu wengi hapa Bongo kumiliki nyumba ndogo hata kama mtu hana uwezo.
 
Cha kwanza wanawake wanapenda mwanaume mwenye uchumi mzuri. Lakini linalokaribiana sana na hilo ni HAIBA na kwa wanachopenda wanawake kwenye haiba ya mwanaume ni urefu!. Kutoka uzoefu wangu Mimi ninayeandika hapa ni mrefu na kwa kusema kweli mke wangu wana muonea gere kwelikweli nami pia najitahidi kujizuia na temptations!

acha kujioshea ww eti temptation acha mbwembwe
 
Back
Top Bottom