Wanaume weusi. . . . . !!

Kwanza ni ulimbukeni wa madada zetu wa kuona ni sifa kubwa kuwa na mzungu, pili wana tamaa sana ya vitu vya anasa hivyo wanatafuta namna ya kutoka, tatu wanafikiri wakiwa na wazungu watauza sura zao vizuri zaidi, nne wanadhani kuwa international super star ni kutoka na wazungu, tano wanawababaikia wazungu ili waonekane wanajua kiingereza, sita wanaonea aibu rangi zao ndo maana wanahusudu rangi ya wazungu, saba wanadhani wazungu wanajua kila kitu kumbe wazungu wengine ni mbwa tu, nane wanadhani kila mzungu ana pesa kumbe wengine hawana hata pa kuishi, tisa wanadhani wazungu wana akili sana kuliko weusi kumbe wengine vichwani ni makamasi, kumi wanadhani wazungu ni wakweli na wana huruma kumbe wengine ni majambazi, kumi na moja, wanadanganywa ponography movies, wanadhani kila kitu kwenye pono ndo kilivyo, n.k. Siku hizi kila demu msomi utakayemwuliza una mchumba atakuambia ndiyo na mchumba wake yupo ulaya, Marekani, Japani, nk - nchi nzuri nzuri tu. Hawezi kusema mchumba wake yuko Msumbiji au Mtwara. Dada zetu ni majigambo tu hamna lolote. WEUSI WETU NI MALI, waliotembea watakuambia.
 
Nini wazungu???!!! yaani nimeishi nao kwa ukaribu lakini ajabu wanaharufu isiyoisha hata waoge vp alafu ili wafanye mapenzi vizuri lazima wajiboost either kwa pombe au kuuchezea uume kwa mda mrefu.kwa kifupi hakuna jipya kwa wazungu ila ni ulimbukeni wa dada zetu.

Na kwa utumwa wa akili dada zetu wanafikiri wanachofanya wazungu ndo mapenzi.mzungu anamsamehe kilahisi mpenzie kwa sababu anajua hawezi kumlidhisha ipasavvo mpenzi wake.Tafakari jinsi wadada wa kizungu wanvyopagawa na choka mbaya wa kiafrika utapata jibu.
 
Year Eiyer alikuwa sahihi, wanaume weusi tukihisi tunaibiwa kinawaka kweli kweli na panakuwa ahaptoshi, lakini wanaume weupe aka wazungu mke anaweza kumegwa na akaja kumwambia mumewe kwamba alimegwa lakini hayakuwa mapenzi bali tamaa ya ngono tu na mume akasamehe na maisha yakaendelea.........Mke anaweza kumwambia mumewe....
"I just have sex last night with someone buti it was not love, just sex......"
Na mume akajibu.... "It is ok my love....."

Kwa M-bongo pangechimbika..............LOL

Mmh Mtambuzi labda una maanisha mzungukoko, lakini mzungu halisi ndo kabisa bora hata sisi, wao kuachana kuko nje nje, wana wivu hadi basi, waulize wadada waliokwenye relationship na wadhungu watakwambia!
 
Eiyer ma lovely lito bro, nilisema sichangii hii post but navutika kuichangia baada ya kusoma post za watu wote waliojibu hii thread to mention few@kaunga Mtambuzi Ndahani Dana amsi na wengine wote nimepata kitu ila naomba nikiweke hivi.

Jamani wengi wa wasichana ama wadada wa kibongo wanaopenda kuolewa na wazungu ama waarabu mweupe yyte yule nashawishika kusema kwamba ni kwasababu ya tamaa ya maisha ama niseme ya shauku ya kutoka kimaisha. Upendo wa dhati huwa haupo kwakweli but hujitahidi sana kuutengeneza kwa kutumia uvuli wa matamanio kujificha.

hata wanaume wanaopenda kutoka na watu weupe wote sababu ni hiyo manake tena siku hizi wamekuwa ndio kuzidi wanawake. Kwangu mimi huu ni ushamba na woga wa maisha tu pia ni kutokujiamini kwa wanawake ama wasichana hawa.

sikatai upendo wa kweli waweza kuwepo lakini bana bado mwanaume wa kiafrika ni bashasha zaid. they are hot enough, musculine, energetic, and worth giving in bed. Hivi kuna mtu amewah kujiuliza kwanini waafrika nafasi nzuri wanawazo kuchezea kwenye timu ya mpira ni zile kama mid field na siyo goolkeeping? basi ukipata jibu hapa utajua kwanini weusi ni bora zaid kwenye hili.na utajua athari ya ngozi kwenye hili.

ninapotolea mfano wa wachezaji nina refer nyanga za Late Syiller Said Mziray(R.I.P) na Dr Akpta na Dr Shehu na Dr.Ndee.

Dada yangu gfsonwin nimekupa like kwa kutusifia hapo kwa red, teh teh teh!!!
 
Black men this, white men that....really? In the 21st century you are still holding to these stereotypes?

The monumental stupidity and ignorance of some people in this thread is astounding and nauseating!

Phina hajambo?
 
Nini wazungu???!!! yaani nimeishi nao kwa ukaribu lakini ajabu wanaharufu isiyoisha hata waoge vp alafu ili wafanye mapenzi vizuri lazima wajiboost either kwa pombe au kuuchezea uume kwa mda mrefu.kwa kifupi hakuna jipya kwa wazungu ila ni ulimbukeni wa dada zetu.

Na kwa utumwa wa akili dada zetu wanafikiri wanachofanya wazungu ndo mapenzi.mzungu anamsamehe kilahisi mpenzie kwa sababu anajua hawezi kumlidhisha ipasavvo mpenzi wake.Tafakari jinsi wadada wa kizungu wanvyopagawa na choka mbaya wa kiafrika utapata jibu.

mkuu je umegundua ni kwanini wazungu wana harufu isiyoisha?
 
mmmh hao wanaume weupe utawatoa wapi kwanza..huna jeuri ya kukataa mzungu wewe piga kimya...sema huna bahati nao ..siku wakija kwenye anga zako ...hutocheua


Kuna mmoja nafanya naye kazi, she is more than 36 years now hatutaki weusi anataka wadhungu, kisa, anataka half cast.
 
Wera wera "Wanaume weusi nawapenda mnooooooooooooooo" Hongereni sana sana kwa hiyo colour aisee........................

"I Love You so much" Huyo anayependa wanaume weupe namshauri ajaribu mweusi

Mie mwanaume mweupe huwa simpendi kabisa.....................(Samahani kama kuna mzungu humu) Yaani hata akipita naangalia pembeni......................


Thanks Dena, maana wanaume weusi twatolewa nduki mno. Wadhungu hawatutaki, weuthi wenzetu wanatutema, wanataka kufuta kizazi cha weusi hawa.
Kuna mmoja nafanya naye kazi, she is over 36 years now, hataki weusi anasubiri wazungu ili apate half cast.
 
wapo dissapointing ukitaka kuwabadilisha, ukimkubali alivo -ve and +ve side.

hakunaga kama wao. ujanja ni kukubali typo utitakayo. kama wakukudunda,

wakukujali, wakukutegemea, ni wewe. wapo in shelves according to ur likes
.

Erotica, you are the genius...kama na mchuzi unatafuta hivi hivi, tuonane ijumaa jioni,lol!
 
Last edited by a moderator:
Eiyer leo nimekupa like kwasababu unajitahd sana kuuchokoa mchokaa. Anyway binafsi sitaki kulichangia hili na siyo kwa nia mbaya bali nitagusa interest za watu fulani humu. But naamini utajifunza kitu ma lito bro.

Hivi unajua kuna watu walikua wanasubiri utasema nini,na moja wa watu hao ni mimi.Hujatutendea haki!
 
Last edited by a moderator:
Uwe pink, zambarau, mwekundu, mweupe, mweusi, manjano, brown .... kama unamtarimbo I like you .

Tofauti mi ninayo angalia ni kitu kingine kabisa na si skin colour. What's the point of having a white or a pink man ambaye ha'" faction properly down under '"

Dah Mtalimbo?! Dada mmhh
 
Jana nilikua natazama program ya mikas eatv.Wageni walikua Nakaaya na Nancy Sumary Nancy aliulizwa kuwa,ni kwa nini wanamitindo wengi boyfriend zao ni na wazungu,hakutoa jibu la kueleweka,lakini pia hata dada yake,Nakaaya ikaonekana ana kidume mweupe,kwani alipoulizwa alijiumauma. Serena Williams aliwahi kusema kuwa wanaume weusi hawajui mapenzi,hawajiamini na wana wivu wa kijinga.Mshirik wa BBA revolution,Mtanzania Elizabeth Gupta,aliwahi kuwaponda wanaume au vijana weusi,akadai hakuwahi kuwa na kidume mweusi,lakini nashangaa ameolewa na Kevin ambae ni mweusi! Hivi ngozi inaweza ikaathiri tabia ya mtu au ni ujinga wa hawa wanawake?Kuna ushahidi wowote wa kisansi wa kuthibitisha hili?Naomba ieleweke kwamba hao niliowataja hapo sio kipimo cha ufahamu au wao ni bora,hapana.Nimewatumia kama mifano kuelezea tatizo la kutokujitambu tulilonalo!

Mdharau asili ni mtumwa! Mapenzi huwa hayachaguwi na ukiona mtu anachaguwa basi ujuwe hayuko kwenye mapenzi bali utumwani ili watu wamuone kuwa yeye yuko tofauti na wengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom