Year Eiyer alikuwa sahihi, wanaume weusi tukihisi tunaibiwa kinawaka kweli kweli na panakuwa ahaptoshi, lakini wanaume weupe aka wazungu mke anaweza kumegwa na akaja kumwambia mumewe kwamba alimegwa lakini hayakuwa mapenzi bali tamaa ya ngono tu na mume akasamehe na maisha yakaendelea.........Mke anaweza kumwambia mumewe....
"I just have sex last night with someone buti it was not love, just sex......"
Na mume akajibu.... "It is ok my love....."
Kwa M-bongo pangechimbika..............LOL
Eiyer ma lovely lito bro, nilisema sichangii hii post but navutika kuichangia baada ya kusoma post za watu wote waliojibu hii thread to mention few@kaunga Mtambuzi Ndahani Dana amsi na wengine wote nimepata kitu ila naomba nikiweke hivi.
Jamani wengi wa wasichana ama wadada wa kibongo wanaopenda kuolewa na wazungu ama waarabu mweupe yyte yule nashawishika kusema kwamba ni kwasababu ya tamaa ya maisha ama niseme ya shauku ya kutoka kimaisha. Upendo wa dhati huwa haupo kwakweli but hujitahidi sana kuutengeneza kwa kutumia uvuli wa matamanio kujificha.
hata wanaume wanaopenda kutoka na watu weupe wote sababu ni hiyo manake tena siku hizi wamekuwa ndio kuzidi wanawake. Kwangu mimi huu ni ushamba na woga wa maisha tu pia ni kutokujiamini kwa wanawake ama wasichana hawa.
sikatai upendo wa kweli waweza kuwepo lakini bana bado mwanaume wa kiafrika ni bashasha zaid. they are hot enough, musculine, energetic, and worth giving in bed. Hivi kuna mtu amewah kujiuliza kwanini waafrika nafasi nzuri wanawazo kuchezea kwenye timu ya mpira ni zile kama mid field na siyo goolkeeping? basi ukipata jibu hapa utajua kwanini weusi ni bora zaid kwenye hili.na utajua athari ya ngozi kwenye hili.
ninapotolea mfano wa wachezaji nina refer nyanga za Late Syiller Said Mziray(R.I.P) na Dr Akpta na Dr Shehu na Dr.Ndee.
Black men this, white men that....really? In the 21st century you are still holding to these stereotypes?
The monumental stupidity and ignorance of some people in this thread is astounding and nauseating!
Nini wazungu???!!! yaani nimeishi nao kwa ukaribu lakini ajabu wanaharufu isiyoisha hata waoge vp alafu ili wafanye mapenzi vizuri lazima wajiboost either kwa pombe au kuuchezea uume kwa mda mrefu.kwa kifupi hakuna jipya kwa wazungu ila ni ulimbukeni wa dada zetu.
Na kwa utumwa wa akili dada zetu wanafikiri wanachofanya wazungu ndo mapenzi.mzungu anamsamehe kilahisi mpenzie kwa sababu anajua hawezi kumlidhisha ipasavvo mpenzi wake.Tafakari jinsi wadada wa kizungu wanvyopagawa na choka mbaya wa kiafrika utapata jibu.
mmmh hao wanaume weupe utawatoa wapi kwanza..huna jeuri ya kukataa mzungu wewe piga kimya...sema huna bahati nao ..siku wakija kwenye anga zako ...hutocheua
Wera wera "Wanaume weusi nawapenda mnooooooooooooooo" Hongereni sana sana kwa hiyo colour aisee........................
"I Love You so much" Huyo anayependa wanaume weupe namshauri ajaribu mweusi
Mie mwanaume mweupe huwa simpendi kabisa.....................(Samahani kama kuna mzungu humu) Yaani hata akipita naangalia pembeni......................
Phina hajambo?
ha ha ha ha ha ha ha ha!njaaa zao tu, kwani mengi ni mzungu? Mbona anawamega
wapo dissapointing ukitaka kuwabadilisha, ukimkubali alivo -ve and +ve side.
hakunaga kama wao. ujanja ni kukubali typo utitakayo. kama wakukudunda,
wakukujali, wakukutegemea, ni wewe. wapo in shelves according to ur likes.
Eiyer leo nimekupa like kwasababu unajitahd sana kuuchokoa mchokaa. Anyway binafsi sitaki kulichangia hili na siyo kwa nia mbaya bali nitagusa interest za watu fulani humu. But naamini utajifunza kitu ma lito bro.
samahani Dena eti mie mwezio huwa nawaita kitimoto.
Uwe pink, zambarau, mwekundu, mweupe, mweusi, manjano, brown .... kama unamtarimbo I like you .
Tofauti mi ninayo angalia ni kitu kingine kabisa na si skin colour. What's the point of having a white or a pink man ambaye ha'" faction properly down under '"
Jana nilikua natazama program ya mikas eatv.Wageni walikua Nakaaya na Nancy Sumary Nancy aliulizwa kuwa,ni kwa nini wanamitindo wengi boyfriend zao ni na wazungu,hakutoa jibu la kueleweka,lakini pia hata dada yake,Nakaaya ikaonekana ana kidume mweupe,kwani alipoulizwa alijiumauma. Serena Williams aliwahi kusema kuwa wanaume weusi hawajui mapenzi,hawajiamini na wana wivu wa kijinga.Mshirik wa BBA revolution,Mtanzania Elizabeth Gupta,aliwahi kuwaponda wanaume au vijana weusi,akadai hakuwahi kuwa na kidume mweusi,lakini nashangaa ameolewa na Kevin ambae ni mweusi! Hivi ngozi inaweza ikaathiri tabia ya mtu au ni ujinga wa hawa wanawake?Kuna ushahidi wowote wa kisansi wa kuthibitisha hili?Naomba ieleweke kwamba hao niliowataja hapo sio kipimo cha ufahamu au wao ni bora,hapana.Nimewatumia kama mifano kuelezea tatizo la kutokujitambu tulilonalo!