Eiyer ma lovely lito bro, nilisema sichangii hii post but navutika kuichangia baada ya kusoma post za watu wote waliojibu hii thread to mention few@kaunga
Mtambuzi Ndahani Dana amsi na wengine wote nimepata kitu ila naomba nikiweke hivi.
Jamani wengi wa wasichana ama wadada wa kibongo wanaopenda kuolewa na wazungu ama waarabu mweupe yyte yule nashawishika kusema kwamba ni kwasababu ya tamaa ya maisha ama niseme ya shauku ya kutoka kimaisha. Upendo wa dhati huwa haupo kwakweli but hujitahidi sana kuutengeneza kwa kutumia uvuli wa matamanio kujificha.
hata wanaume wanaopenda kutoka na watu weupe wote sababu ni hiyo manake tena siku hizi wamekuwa ndio kuzidi wanawake. Kwangu mimi huu ni ushamba na woga wa maisha tu pia ni kutokujiamini kwa wanawake ama wasichana hawa.
sikatai upendo wa kweli waweza kuwepo lakini bana bado mwanaume wa kiafrika ni bashasha zaid. they are hot enough, musculine, energetic, and worth giving in bed. Hivi kuna mtu amewah kujiuliza kwanini waafrika nafasi nzuri wanawazo kuchezea kwenye timu ya mpira ni zile kama mid field na siyo goolkeeping? basi ukipata jibu hapa utajua kwanini weusi ni bora zaid kwenye hili.na utajua athari ya ngozi kwenye hili.
ninapotolea mfano wa wachezaji nina refer nyanga za
Late Syiller Said Mziray(R.I.P) na Dr Akpta na Dr Shehu na Dr.Ndee.