Wanaume weusi. . . . . !!

Wera wera "Wanaume weusi nawapenda mnooooooooooooooo" Hongereni sana sana kwa hiyo colour aisee........................

"I Love You so much" Huyo anayependa wanaume weupe namshauri ajaribu mweusi

Mie mwanaume mweupe huwa simpendi kabisa.....................(Samahani kama kuna mzungu humu) Yaani hata akipita naangalia pembeni......................
 
samahani Dena eti mie mwezio huwa nawaita kitimoto.

Wera wera "Wanaume weusi nawapenda mnooooooooooooooo" Hongereni sana sana kwa hiyo colour aisee........................

"I Love You so much" Huyo anayependa wanaume weupe namshauri ajaribu mweusi

Mie mwanaume mweupe huwa simpendi kabisa.....................(Samahani kama kuna mzungu humu) Yaani hata akipita naangalia pembeni......................
 
Year Eiyer alikuwa sahihi, wanaume weusi tukihisi tunaibiwa kinawaka kweli kweli na panakuwa ahaptoshi, lakini wanaume weupe aka wazungu mke anaweza kumegwa na akaja kumwambia mumewe kwamba alimegwa lakini hayakuwa mapenzi bali tamaa ya ngono tu na mume akasamehe na maisha yakaendelea.........Mke anaweza kumwambia mumewe....
"I just have sex last night with someone buti it was not love, just sex......"
Na mume akajibu.... "It is ok my love....."

Kwa M-bongo pangechimbika..............LOL

Ama kweli mbona hawa wanawake hawaeleweki. Kuna rafiki yangu aliwahi pigwa chini na mpenzi wake kisa msichana anadai jamaa ni mtu wa kutomind hata amkute akiwa na mwanaume hajali anaishia tu kusema we fanya yote ukitosheka rudi maana mimi ntaendelea kukupenda na msichana akawa anadai anataka mtu mwenye wivu ambaye ni firm.
Sasa naposikia kuwa sie weusi tuna wivu wa kijinga nashangaa.
All in all sisi waafrica tatzo letu ni inferiority complex yan hatujiamain iwe wanaume na wanawake pia ndio maana twatamani wazungu.
Mimi labda walatino america ndio nawatamani lakini wajerumani na waingereza hata kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Eiyer ma lovely lito bro, nilisema sichangii hii post but navutika kuichangia baada ya kusoma post za watu wote waliojibu hii thread to mention few@kaunga Mtambuzi Ndahani Dana amsi na wengine wote nimepata kitu ila naomba nikiweke hivi.

Jamani wengi wa wasichana ama wadada wa kibongo wanaopenda kuolewa na wazungu ama waarabu mweupe yyte yule nashawishika kusema kwamba ni kwasababu ya tamaa ya maisha ama niseme ya shauku ya kutoka kimaisha. Upendo wa dhati huwa haupo kwakweli but hujitahidi sana kuutengeneza kwa kutumia uvuli wa matamanio kujificha.

hata wanaume wanaopenda kutoka na watu weupe wote sababu ni hiyo manake tena siku hizi wamekuwa ndio kuzidi wanawake. Kwangu mimi huu ni ushamba na woga wa maisha tu pia ni kutokujiamini kwa wanawake ama wasichana hawa.

sikatai upendo wa kweli waweza kuwepo lakini bana bado mwanaume wa kiafrika ni bashasha zaid. they are hot enough, musculine, energetic, and worth giving in bed. Hivi kuna mtu amewah kujiuliza kwanini waafrika nafasi nzuri wanawazo kuchezea kwenye timu ya mpira ni zile kama mid field na siyo goolkeeping? basi ukipata jibu hapa utajua kwanini weusi ni bora zaid kwenye hili.na utajua athari ya ngozi kwenye hili.

ninapotolea mfano wa wachezaji nina refer nyanga za Late Syiller Said Mziray(R.I.P) na Dr Akpta na Dr Shehu na Dr.Ndee.
 
Last edited by a moderator:
Eiyer ma lovely lito bro, nilisema sichangii hii post but navutika kuichangia baada ya kusoma post za watu wote waliojibu hii thread to mention few@kaunga Mtambuzi Ndahani Dana amsi na wengine wote nimepata kitu ila naomba nikiweke hivi.

Jamani wengi wa wasichana ama wadada wa kibongo wanaopenda kuolewa na wazungu ama waarabu mweupe yyte yule nashawishika kusema kwamba ni kwasababu ya tamaa ya maisha ama niseme ya shauku ya kutoka kimaisha. Upendo wa dhati huwa haupo kwakweli but hujitahidi sana kuutengeneza kwa kutumia uvuli wa matamanio kujificha.

hata wanaume wanaopenda kutoka na watu weupe wote sababu ni hiyo manake tena siku hizi wamekuwa ndio kuzidi wanawake. Kwangu mimi huu ni ushamba na woga wa maisha tu pia ni kutokujiamini kwa wanawake ama wasichana hawa.

sikatai upendo wa kweli waweza kuwepo lakini bana bado mwanaume wa kiafrika ni bashasha zaid. they are hot enough, musculine, energetic, and worth giving in bed. Hivi kuna mtu amewah kujiuliza kwanini waafrika nafasi nzuri wanawazo kuchezea kwenye timu ya mpira ni zile kama mid field na siyo goolkeeping? basi ukipata jibu hapa utajua kwanini weusi ni bora zaid kwenye hili.na utajua athari ya ngozi kwenye hili.

ninapotolea mfano wa wachezaji nina refer nyanga za Late Syiller Said Mziray(R.I.P) na Dr Akpta na Dr Shehu na Dr.Ndee.

gfsonwin, huyo mbaba alikuwa balaaa. Yaani alikuwa anawakusanya kuliko maelezo. Sijui alikuwa anawapa nini. RIP Mziray!!
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin, huyo mbaba alikuwa balaaa. Yaani alikuwa anawakusanya kuliko maelezo. Sijui alikuwa anawapa nini. RIP Mziray!!
Ndahani ni kweli. But to me tumkumbuke kwa mema yake jamani. huyu ni mtu ambaye alinifunza mambo mengi sana na ni miongoni mwa watu ambao kifo chao kimeacha pengo katika maisha yangu. hasa katika tasnia ya michezo. nitamkumbuka daima. R.I.P MZIRAY.
 
Last edited by a moderator:
Ndahani ni kweli. But to me tumkumbuke kwa mema yake jamani. huyu ni mtu ambaye alinifunza mambo mengi sana na ni miongoni mwa watu ambao kifo chao kimeacha pengo katika maisha yangu. hasa katika tasnia ya michezo. nitamkumbuka daima. R.I.P MZIRAY.

gfsonwin Kumbe wewe ni msomi wa Physical Education ya Mziray? I used to chat a lot with him when I was around there...ila nilichoka nilipokutana naye Morogoro akiwa kocha wa Simba ikiwa inacheza na Moro United, na mwanafunzi wake wa Physical Education!
That was the man, who always used to smile....
 
Last edited by a moderator:
Mamiss, models na wanawake wanaopenda fame and celebrity issues 99.99% wapo kimaslahi zaidi ya kifedha na shortcut ya maisha bora ili walau majina na hadhi zao (umaarufu) uendane na maisha yao. Hivyo ni rahisi kuwafuata "wawekezaji" waliopo huku ambao wengi ni vibabu na ikitokea ni kijana basi anachuma mali ya wazazi, kwani wanajua wakiwa na wanaume waafrika process za kutoka kimaisha zitakuwa za mda mrefu na pengine wasifanikishelengo kutokana na kutokuwa na msimamo katika mahusiano. Hivyo ukweli utabaki kuwa ukweli... ushamba, ulimbukeni, kupenda maisha mazuri kwa njia rahisi, kupenda kupewa, kukosa akili na hali za kujituma kimaisha, kukosa elimu, kupenda kuiga mambo wanayoona nchi za dunia za kwanza, tamaa, taarifa za uongo wanazopewa na wanawake wenzao walio nje ambao wengi hupelekwa ama huenda kujiuza na kukosa 'kufundwa' NDIO SABABU ZA JAMII YA WANAWAKE NAMNA HIYO KUPENDA WADHUNGU. Hongereni wanawake wa kiafrika mnaojiamini na kujua kuwatunza wanaume wa kiafrika.

Samahani kama nitakuwa nimewakosea kwa namna moja ama nyingine.
 
gfsonwin Kumbe wewe ni msomi wa Physical Education ya Mziray? I used to chat a lot with him when I was around there...ila nilichoka nilipokutana naye Morogoro akiwa kocha wa Simba ikiwa inacheza na Moro United, na mwanafunzi wake wa Physical Education!
That was the man, who always used to smile....
Ndahani mimi nilisoma ualimu wa sayansi so nilitafuta optional courses za PE ili kuweza kumudu vyema kazi yangu ya ualimu manake health mind stays in health body. nashukuru sana kwakweli yeye na lectures wengine. But sijui siku hizi kama hata hii kozi ipo tena. Masomo ya pe kwa wakati huo tuliyapenda sana hasa sisi waali kwani lol yalikuwa full shangwe baada ya kupigika na ma formula ya kemia ama ma phsiology and anatomy.
 
Last edited by a moderator:
wenzetu wazungu wana mapenzi ya kweli, sisi watanzania tuna mapenzi ya bandia (mapenzi ya pesa).
 
wapo dissapointing ukitaka kuwabadilisha, ukimkubali alivo -ve and +ve side.

hakunaga kama wao. ujanja ni kukubali typo utitakayo. kama wakukudunda,

wakukujali, wakukutegemea, ni wewe. wapo in shelves according to ur likes.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom