mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 801
wazungu hawawezi kusex mpaka uboot from the ass
Jana nilikua natazama program ya mikas eatv.Wageni walikua Nakaaya na Nancy Sumary Nancy aliulizwa kuwa,ni kwa nini wanamitindo wengi boyfriend zao ni na wazungu,hakutoa jibu la kueleweka,lakini pia hata dada yake,Nakaaya ikaonekana ana kidume mweupe,kwani alipoulizwa alijiumauma. Serena Williams aliwahi kusema kuwa wanaume weusi hawajui mapenzi,hawajiamini na wana wivu wa kijinga.Mshirik wa BBA revolution,Mtanzania Elizabeth Gupta,aliwahi kuwaponda wanaume au vijana weusi,akadai hakuwahi kuwa na kidume mweusi,lakini nashangaa ameolewa na Kevin ambae ni mweusi! Hivi ngozi inaweza ikaathiri tabia ya mtu au ni ujinga wa hawa wanawake?Kuna ushahidi wowote wa kisansi wa kuthibitisha hili?Naomba ieleweke kwamba hao niliowataja hapo sio kipimo cha ufahamu au wao ni bora,hapana.Nimewatumia kama mifano kuelezea tatizo la kutokujitambu tulilonalo!
Nahisi ni mawazo potofu tu. hakuna mahusiano yoyote kati ya rangi na mapenzi. Huwa tunajidanganya kuwa wazungu wana mapenzi ya dhati, ni waaminifu, hawa sex kabla ya ndoa.... wakati si kweli, wapo wanaotoa mimba, wapo wanawake wameumizwa ndo maana kuna ndoa za mikataba ya muda mfupi. They are cheaters just like africans. labda kwasababu tumezoea kusifia kila kitu cha wazungu.
Waeleze hawa mimi ninachojua kuppenda au kutokuppenda hakujali rangi ya mtu, tatizo ni kuwa wanawake wetu huku wanachukua sample ndogo ya wazungu wanaokutana nao happa halafu wanaconclude eti wanajua kuppenda.Mbona kwa wazungu kuna malalamiko mengi tu ya ukatili na mengine?Hawa wengine ni ushamba tu na kutojiamini, angalia huwa wanaishia wapi na hao wazungu wao.
Jana nilikua natazama program ya mikas eatv.Wageni walikua Nakaaya na Nancy Sumary Nancy aliulizwa kuwa,ni kwa nini wanamitindo wengi boyfriend zao ni na wazungu,hakutoa jibu la kueleweka,lakini pia hata dada yake,Nakaaya ikaonekana ana kidume mweupe,kwani alipoulizwa alijiumauma. Serena Williams aliwahi kusema kuwa wanaume weusi hawajui mapenzi,hawajiamini na wana wivu wa kijinga.Mshirik wa BBA revolution,Mtanzania Elizabeth Gupta,aliwahi kuwaponda wanaume au vijana weusi,akadai hakuwahi kuwa na kidume mweusi,lakini nashangaa ameolewa na Kevin ambae ni mweusi! Hivi ngozi inaweza ikaathiri tabia ya mtu au ni ujinga wa hawa wanawake?Kuna ushahidi wowote wa kisansi wa kuthibitisha hili?Naomba ieleweke kwamba hao niliowataja hapo sio kipimo cha ufahamu au wao ni bora,hapana.Nimewatumia kama mifano kuelezea tatizo la kutokujitambu tulilonalo!
Eiyer leo nimekupa like kwasababu unajitahd sana kuuchokoa mchokaa. Anyway binafsi sitaki kulichangia hili na siyo kwa nia mbaya bali nitagusa interest za watu fulani humu. But naamini utajifunza kitu ma lito bro.
Kaizer,kila mwanadamu ni mbaguzi hilo liko wazi.Nilimaanisha mwanaume mweusi na sio Muafrika,mwafika anaweza kuwa mhindi,mchina,mzungu n.k!Hapa mjadala mkubwa ni rangi sio utaifa ndo maana jambo hili linawahusu weusi wote walioko duniani!
Year Eiyer alikuwa sahihi, wanaume weusi tukihisi tunaibiwa kinawaka kweli kweli na panakuwa ahaptoshi, lakini wanaume weupe aka wazungu mke anaweza kumegwa na akaja kumwambia mumewe kwamba alimegwa lakini hayakuwa mapenzi bali tamaa ya ngono tu na mume akasamehe na maisha yakaendelea.........Mke anaweza kumwambia mumewe....
"I just have sex last night with someone buti it was not love, just sex......"
Na mume akajibu.... "It is ok my love....."
Kwa M-bongo pangechimbika..............LOL
hawa dada zetu cultural imperialism inawapeleka puta kuanzia kuvaa kuongea kwa kubana pua kiswanglish you know you know kibao.hii yote ni kutokujiamini(inferiority complex)mfano mzuri ni hao wameru waliokuwa eatv ni vichefuchefu
hivi huwa wanacheat? mzungu mnaachana live...huwa hawamix kwa muda mmoja...sio kama weusi mnapigisha foleni dsm kampala