Wanaume weusi. . . . . !!

Kimbweka bora umejificha hili Jukwaa siku hizi lina Mods ndo maana naogopa kusema kwa nini Dada zetu wadada zetu wanawapenda wazungu ambao wakiwapa gwaride nyumaaaaaas geuka! hawakatai labda wachache km kina Kung'asti wanaowapenda matall wembamba km Simbachawene
 
Masahihisho kidogo, SERENA Williams walimzushia.

Si siku chache baadaye akaonekana na yule kijana mchezaji na mwisho kuwa na huyu Mwanamuziki COMMON?

Lile **** la Nguvu lile, Mzungu analiogopa ati :)

Ila akina dada wa Kitanzania, msichague watu kwa NGOZI zao. Ukimpenda mtu, wewe nenda. Usiweke pesa mbele.

Mwenzenu huyu anatangaza kuwa siku hizi anacheza na Barafu (Snow), hahahahaa........


Jana nilikua natazama program ya mikas eatv.Wageni walikua Nakaaya na Nancy Sumary Nancy aliulizwa kuwa,ni kwa nini wanamitindo wengi boyfriend zao ni na wazungu,hakutoa jibu la kueleweka,lakini pia hata dada yake,Nakaaya ikaonekana ana kidume mweupe,kwani alipoulizwa alijiumauma. Serena Williams aliwahi kusema kuwa wanaume weusi hawajui mapenzi,hawajiamini na wana wivu wa kijinga.
 
Last edited by a moderator:
Mbona mnalialia, analysis yangu inaonyesha black men are so much into white women. I wish someone give 10 white men married black women, I mean celebrities but I can write 200 pages just listing vice versa.
 
Nahisi ni mawazo potofu tu. hakuna mahusiano yoyote kati ya rangi na mapenzi. Huwa tunajidanganya kuwa wazungu wana mapenzi ya dhati, ni waaminifu, hawa sex kabla ya ndoa.... wakati si kweli, wapo wanaotoa mimba, wapo wanawake wameumizwa ndo maana kuna ndoa za mikataba ya muda mfupi. They are cheaters just like africans. labda kwasababu tumezoea kusifia kila kitu cha wazungu.
 
wanawapapatikia wazungu kutokana na njaa zao, unakuta ana mzungu pembeni anakidume cheusi kinamkuna

Hapo ndio penye swali la kujiuliza huwa wanawafatia nini hao wazungu kama huwa wanavidumu weusi si bora wangekua na vidumu wazungu tungejua moja! Kuna wadada si chini ya nane ninaowafahamu wote wana mabwana/waume wazungu na wote wana vidumu waafrika sielewiiiiiii,we Smile tatizo nini hapa???
 
Last edited by a moderator:
hao madada mi ninawaelewa wanachomaanisha, kwa sababu hata wanaume weusi ambao wameshatoka na wanawake wazungu watasema kua wanawake wa kizungu ni afadhali kwa sababu wengi wao hawana wivu wa kijinga, wanakupa space ukae na ur friends na vitu kama hivyo sasa mwanaume wa kiafrica akiwa na mwanamke wa kiafrika hapo lazima utakuta kuna wivu, chuki,kutoelewana kijinga jinga inaboa sometimes
 
Hapo umeweka na Walatino?

Maana Michael Jordan na Shaq wao wana Walatino ati.

Akina dada lazima mfahamu jambo moja, wengi wa hawa wanadai wana Wazungu wanaume, huwa wanachoropoka mara moja moja na kupata Gwaride la Mpingo. Na hasa waliokuwa mabwana zao kabla hawajakutana na huyo Mudhungu.

Kwa sisi akina Kaka weusi, wengi huwa wanakimbilia Wadhungu kutokana na sehemu wanayoishi. Tuseme unaishi kule juu Sweden, kule Weusi wachache na utajikuta unaishia kuchukua Mama Yeyo wa Kiswidi ukame ukizidi. Mwanzo unaona kama ni kujiokoa tu na baridi kali ya Sweden/Norway ila siku zinavyozidi kuongezeka, unajikuta una mtoto/watoto na maisha yanakwenda. Mwisho unamzoea huyo Mamaa na unajikuta bila yeye, maisha hayaendi.

Sasa utamuachaje huyo mamaa na watoto wako/mtoto wako ambao ni damu yako mwenyewe? Kisa tu WIFI zake akina KAUNGA watakushambulia eti umewaletea Zeruzeru pale nyumbani Sikonge Usupilo.

Dunia sasa hivi inaungana, utake usitake itakuwa hivyo. Kuna wanakaofanya muungano huo kwa mapenzi. Kuna watakaofanya kwa kuona tu "ngoja wanione na mie nina MUDHUNGU" na kuna watakaofanya kwa bahati mbaya yaani Hit and Run.

Ila kwa sisi Wanyamwezi/Wasukuma, tuna kaugonjwa sana kwa NGOZI NYEUPE. Hata kwenye Mahali basi Ng'ombe huwa wanaongezeka kutokana na weupe wa Mamaa. Sasa ukipata sehemu Mwaarabu au Mudhungu na tena hulipi hata senti tano, lohhh, KATAVI(Shetani) akupe nini tena?

Wanyamwezi hadi tuna wimbo "toka ndani wakuone ulivyopendeza Mama Kaunga......." Kaunga hebu malizia, hehehee...
Mbona mnalialia, analysis yangu inaonyesha black men are so much into white women. I wish someone give 10 white men married black women, I mean celebrities but I can write 200 pages just listing vice versa.
 
Last edited by a moderator:
haki yake mpeni! Wazungu wanajua kupenda bana!

kama wazungu wangekuwa wanajua kupenda na uhakika wasingekuwa na unyanyapaa hadi kwenye mchezo wa mpira wa miguu.muhulize samuel eto,baloteli,drgba akishka mpira watu wanatoa sauti za manyani,kurushiwa ndizi.ndo maana eto akifunga uwa anatembea kama nyani,drogb anashnglia kama mpga mbizi,huyo balotel akfunga anatazama jukwaan anawatukana.bora binti ukiolewa na mzungu muamishie makazi afrika ila ukienda kuishi ulaya maumivu yatakujia.
 
Hapo umeweka na Walatino?

Maana Michael Jordan na Shaq wao wana Walatino ati.

Akina dada lazima mfahamu jambo moja, wengi wa hawa wanadai wana Wazungu wanaume, huwa wanachoropoka mara moja moja na kupata Gwaride la Mpingo. Na hasa waliokuwa mabwana zao kabla hawajakutana na huyo Mudhungu.

Kwa sisi akina Kaka weusi, wengi huwa wanakimbilia Wadhungu kutokana na sehemu wanayoishi. Tuseme unaishi kule juu Sweden, kule Weusi wachache na utajikuta unaishia kuchukua Mama Yeyo wa Kiswidi ukame ukizidi. Mwanzo unaona kama ni kujiokoa tu na baridi kali ya Sweden/Norway ila siku zinavyozidi kuongezeka, unajikuta una mtoto/watoto na maisha yanakwenda. Mwisho unamzoea huyo Mamaa na unajikuta bila yeye, maisha hayaendi.

Sasa utamuachaje huyo mamaa na watoto wako/mtoto wako ambao ni damu yako mwenyewe? Kisa tu WIFI zake akina KAUNGA watakushambulia eti umewaletea Zeruzeru pale nyumbani Sikonge Usupilo.

Dunia sasa hivi inaungana, utake usitake itakuwa hivyo. Kuna wanakaofanya muungano huo kwa mapenzi. Kuna watakaofanya kwa kuona tu "ngoja wanione na mie nina MUDHUNGU" na kuna watakaofanya kwa bahati mbaya yaani Hit and Run.

Ila kwa sisi Wanyamwezi/Wasukuma, tuna kaugonjwa sana kwa NGOZI NYEUPE. Hata kwenye Mahali basi Ng'ombe huwa wanaongezeka kutokana na weupe wa Mamaa. Sasa ukipata sehemu Mwaarabu au Mudhungu na tena hulipi hata senti tano, lohhh, KATAVI(Shetani) akupe nini tena?

Wanyamwezi hadi tuna wimbo "toka ndani wakuone ulivyopendeza Mama Kaunga......." Kaunga hebu malizia, hehehee...

Jamani kaka yangu, you should know by now, that l am a coolest sis n wifi to my zeruzeru sis inlaw ever! LOL
Mimi napenda maisha ya amani yakiendelea, and as long as you my bros are happy me very happy pia; ila msichoropoke sana kutafuta joto la kibantu si eti eeh. Si vizuri kumuumiza wifi. Lol
 
Hehehe! Na kweli mwanakwetu, huku kijijini nilipo mzungu pekee ni padri! Na anaogopa kunasishwa manake kikionekana kitoto shombe tu kitajulikana ni chake.

Niunganishie basi jamani weye mwenye bahati na mie.

Invisible, hebu tuwekee kitufe cha ku-reduce reputation plz!




hicho kitufe kipo! mi wananigongea sana humu wenye chuki binafsi .. but seriously smiles kaongea pumba
 
Hapo ndio penye swali la kujiuliza huwa wanawafatia nini hao wazungu kama huwa wanavidumu weusi si bora wangekua na vidumu wazungu tungejua moja! Kuna wadada si chini ya nane ninaowafahamu wote wana mabwana/waume wazungu na wote wana vidumu waafrika sielewiiiiiii,we Smile tatizo nini hapa???
mimi sijui bwana ..mimi sina mzungu wala sipendi watu weupe ila sidhani kama wana ubaya kiivo...mi kambi popote
 
Hangover jumanne? Kweli wewe mwanaume mweusi, kha!

King'asti, kwani hangover ina siku? Inategemea na matukio yaliyokuzunguka. I had my good day yesterday...so waking up with hangover isn't something to bother!
 
Hao ni kasumba tu za kutawaliwa. Na ukweli ni kwamba wazungu huwa wanawafanyia mambo ya ajabu sana lakini wanakubali eti kwa sababu ni wazungu.
 
Uwe pink, zambarau, mwekundu, mweupe, mweusi, manjano, brown .... kama unamtarimbo I like you .

Tofauti mi ninayo angalia ni kitu kingine kabisa na si skin colour. What's the point of having a white or a pink man ambaye ha'" faction properly down under '"

Wengine wanawapenda kwa ajira kuuzia sura..Dubai, Hongkong ...you name it. Hata kama ni ka babu kanachokaribia kufa
 
Kuna usemi unasema kila shetani na mbuyu wake. Waache wafuate wazungu na wengine wafrika wenzao,ni mapendeleo ya mtu na mipango ya mtu .Siwezi ingilia ila napinga sana mtu akisema mwanaume mweusi hana maana kwa mzungu.Sikubali hata kidogo ubaguzi wa namna hyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom