Wanaume watanashati wengi wabovu kitandani.

Wanaume watanashati wengi wabovu kitandani.

Hapana hommie. gfsonwin anaweza kukupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Nataka nisikie kauli ya shem AshaDii. Na roho yangu itapona.


Hata kama nimekununia wacha tu nijibu hili swali la msingi sana. Hebu soma kati kati ya mistari hapo chini.. Lol

K unaniruhusu niweke picha kuonyesha ulivyo mtanashati? Alafu hapo hapo nimwite gfsonwin, DEMBA na msiri wako mwaJ (unaye mpaga siri zooote) waje watoe marks za Performance? :smile-big:
 
nashangaa sana kuona watu mnapata shidaaa na manyuzi ya aina hii one simple answer ni kwamba
Mleta mada hajawah kukutana na wanaume marijali bali hukutana nusu rijali, sasa mnategema nini??

BTW mleta mada angalileta kwa logic kwamba wanaume warudi jandoni wakafunzwe upya juu ya ulingo ningekuwa na la kusapoti manake kuna kaukweli hasa kwa vijana wanaokua sasa hivi.
Hapo nakupinga kiukweli kuhusu suala la wanaume kurudi jandoni, binafsi nasema ngono ni sanaa ambayo haiitaji uwe na kipaji cha kuzaliwa bali ni jambo ambalo linahitaji utayari wa akili yako binasfi, kinachosababisha wanaume wengi waonekane ni dhaifu sio namna ya ufanyaji( kukata kiuno) bali ni upungufu wa nguvu za kiume kana kwamba wengi wao wanashindwa kurudia raundi ya pili au wanatatizo la kukojoa mapema sana. Unaweza kwenda raundi hata 3 lakini kila raundi ukawa unakojoa mapema. Hivyo nawashauri wanaume wenzangu kula vyakula ambavyo vinasidia kuongeza nguvu za kiume pia kujifunza jinsi ya kujizuia kukojoa mapema ili tuweze kuwafikisha kileleni hawa dada zetu
 
AshaDii mke mwenzangu, nafikiri mleta mada aina ya uandish wa mada yake ndio ulio mletea upinzani mkubwa zaid hapa. Na sijui ufaham wake lkn kwa uelewa wangu mimi utanashati ni compliment ya performance as you have said it.

sasa nije kwenye swala la msingi ambalo naona kwa baadhi ya wanaume wanayo shida na hapa nimetaka tu kuelimisha na so kushabikia, kuna baadhi ya wanaume ambao ukweli hawawez/hawajui / hawamudu kuridhisha wapenzi wao lijapo swala la kufanya mapenzi.

Kama ilivyo kwamba kuna baadhi ya wanawake wako hivyo basi na upande wa pili wa shilingi uko hivyo. Tatizo kwa wanawake wengi huwa hawawez kusema ukweli kwa wapenzi wao kwamba hapa hujanifikisha na hivyo hutoka wakiwa na maswali mengi sana akilini mwao.

Mie nimewah kusikia kwa wanawake wengi tu wakilalamika hawajui hata orgasm ni kitu gani zaid ya kusoma tu kwamba kuna kilele watu hufika, na hawa unakuta wako kwenye ndoa na wana watoto pengine wa3 ama 4 ndoa ina mwaka 10+. Hapo ndipo linapokuja swala zima la je ni kwamba huyu baba ni mbinafsi?? na je huyu mwanaume anajua nini anachotaka mkewe kwenye ishu ya tendo la ndoa?

Wanaume wengi hujua mwanamke hufika pale yeye anapofikia mshindo kumbe maskini kuna njia tofauti kabisa ya kumfikisha huyu mwanamke. tena baadhi yao hujua akifikia mshindo ndio basi yy hawez hata kujua mwenzie kafika wapi. Kuna sababu ya wanaume kujifunza na kuijua miili ya wake zao wajue mke anaridhishwa vipi kimapenzi.

Hata hawa wanaotumia dawa za kuongeza nguvu za kiume, hutumia wakijua kwamba kukaa kifuani kwa mwanamke muda mrefu ndiko kumfanya afikie mshindo kumbe wala sio hivyo.

I think some thing needs to be addressed in a clear way kwa hawa wanaume.
 
Last edited by a moderator:
K unaniruhusu niweke picha kuonyesha ulivyo mtanashati? Alafu hapo hapo nimwite gfsonwin, DEMBA na msiri wako mwaJ (unaye mpaga siri zooote) waje watoe marks za Performance? :smile-big:


mimi sihofiii hata kidogo, ila matokeo yake sasa, utanisaidia kusoma PM Mpenzi?
 
Hapo nakupinga kiukweli kuhusu suala la wanaume kurudi jandoni, binafsi nasema ngono ni sanaa ambayo haiitaji uwe na kipaji cha kuzaliwa bali ni jambo ambalo linahitaji utayari wa akili yako binasfi, kinachosababisha wanaume wengi waonekane ni dhaifu sio namna ya ufanyaji( kukata kiuno) bali ni upungufu wa nguvu za kiume kana kwamba wengi wao wanashindwa kurudia raundi ya pili au wanatatizo la kukojoa mapema sana. Unaweza kwenda raundi hata 3 lakini kila raundi ukawa unakojoa mapema. Hivyo nawashauri wanaume wenzangu kula vyakula ambavyo vinasidia kuongeza nguvu za kiume pia kujifunza jinsi ya kujizuia kukojoa mapema ili tuweze kuwafikisha kileleni hawa dada zetu
At least wewe umeadmit kwamba tatizo lipo, sawa mie sikupingi hata kidogo. Lakin ninachopingana na wewe wala kumridhisha mwanamke hakuhitaj nguvu kubwa kiasi hicho (nguvu za kiume).

Ngoja nikupe mfano mdogo nafkiri utanielewa, mimi gfsonwin nimeolewa mke wa pili naswtlo wangu Kaizer ambaye dada mkubwa kindoa ni AshaDii, na siku hizi mie ninaye mdogo wangu kindoa aitwae DEMBA.

sasa mume wetu huyu, wala sio kwamba anahitaj nguvu nyingi sana kuturidhisha ila yeye hutumia mbinu ambazo wala hazimtoi jasho, na humudu kupanga zamu na kila mmoja akamuhudumia vyema bila kutaka nyongeza ya dawa za nguvu za kiume. Anacholinda yeye ni je naujua vyema mwili wa mke wangu?? na je wapi panapompa hamasa zaidi?? kwa kua anapajua basi yeye wala jasho halimtoki na anatuweka mjini sote tukatulia na hatujuti.

sasa wewe unafikiri hapo tatizo linalowapata watoto wa kiume wa kileo ni lipi?? manake kijana wa miaka 30 utamlinganisha na swtlo wangu mwenye miaka 40+ na wake 3?? nani hapa ambaye huo upungufu wa nguvu unatakiwa umsumbue?
 
Last edited by a moderator:
Mie siku hizi natoka na mshkaji mmoja yeye ni fundi mwashi, tu yaani mchana ukimkuta ananinginia kubeba zege unaweza ukalia lakini aoge muingie uwanjani utampenda!
Nimeshauambia moyo wangu STOP SHOW RUM MEN!
Kwa niaba ya wabeba zege wenzangu...tunakutakia penzi jema na mbeba zege mwenzetu..
 
Kwani unafikiria Phumbu ya kisawasawa hajai kupigwa? tatizo anagawa sana ndio maana katika kugawa kwake amekuja na hiyo tathmini yake. Sasa angejuaje kama mtanashati hapigi vizuri na ambaye sio mtanashati anapiga..........vipi wewe unataka mtanashati....

Niliyekuwa nae ananitosha......watu walimuona wa nn sasa hv wanajigonga kwake.Nyota yke inang'aa balaa chezea joto la vijana nn???
 
Yaani ukweli ambao mie nimeuona nice looking men wana perfomance mbovu sana, tena hawa wa mjini ambao masaa yote anaonekana msafi, mzuri anavutia ni majanga. WENGI hudhan umaridadi na uzuri wao basi unatosha kumbe sio.

Mwanaume ambaye ni wa kawaida tu unaweza mdharau na kusema huyu yuko hivi lakini ukweli kwenye mechi performance iko njema zaid zaid ya hawa wa shoe rum tunaokutana nao huku maofisini.Kwanza wengi hawa wa show rum ni watoto wa mama, hawajui hata uanaume wao uko wapi. Mijianaume inadeka tu kama watoto wa kike yaani hawaeleweki.

Haa..haaa, mijianaume inadeka! Umeniacha hoi......hasa mwanamke afanye nin jamani?
 
Back
Top Bottom