Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,353
cc "wazee wa kujihandsomisha Muuza Sura Excellent
waliokuwa na fikra kama zako na wakataka kuupimia huu mziki maji waliita mma na wakawatukana sana mabwana zao wakati wa match......
cc "wazee wa kujihandsomisha Muuza Sura Excellent
Kubadili gia ndio kufanyaje?
waliokuwa na fikra kama zako na wakataka kuupimia huu mziki maji waliita mma na wakawatukana sana mabwana zao wakati wa match......
Ahahahahahahha!!!!!!!!
Mbona hizi ni mbwe mbwe tuu kazi iko dimbani!!!
kwa hiyo wasiokuwa watanashati wako poa kitandani au sijakusoma vizuri?
Pole sana, ulipokuwa ukiambiwa mwanaume hasifiwi urembo wala utanashati anasifiwa kazi hukuamini, ulifikiri kazi ya ofisini tu eeeh?
Weee uliye tuu ucheke una mbavu????
Hope you are all good!!
Najua wengi mtakuja na matusi na kashfa kibao lakini message sent and delivered.
Men you should train yourself bhana mnaboa sana yaani unakuta mtu mtanashati, ana kila kitu kizuri lkn kitandani hovyo kabisa...,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
SITAKI MATUSI IKIKUBOA IPOTEZEE
Weee uliye tuu ucheke una mbavu????
Hope you are all good!!
Najua wengi mtakuja na matusi na kashfa kibao lakini message sent and delivered.
Men you should train yourself bhana mnaboa sana yaani unakuta mtu mtanashati, ana kila kitu kizuri lkn kitandani hovyo kabisa...,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
SITAKI MATUSI IKIKUBOA IPOTEZEE
Haya bhana.Kwa na pozi mara ukae hivi, ushike glasi ivi, ukiongea uoongee hivi yaani ni ptyuuuuu!!
Hapo kwenye rangi mkolezo ndipo penyewe hasa, mkuu pointi yako imenikosha mtima sana hii...sijui umekutana nao wangapi?
nawewe mwenyewe unajishughulishaje mkiwa kunako uwanja?
kuna wanawake wengine wanadhani wanaume ni sex-machine, we ukitaka tu basi unaukalia! fanya utundu kidogo basii!
mie masista du ndio naonaga ni tatizo, yaani yeye kila kitu anafanya kisista du! anatulia kama gogo, yeye anaijua staili moja tu! na mkimaliza hicho cha introduction basi kama kulala atalala na hakuna kujihangaisha!
halafu na usafi nao ni tatizo kwenu! mazingira hamuyajali nyie! unakutana na mazingira mabovu kuliko ulivyotarajia,sasa hiyo hamu si itaisha!
Hapo kwenye rangi mkolezo ndipo penyewe hasa, mkuu pointi yako imenikosha mtima sana hii...
Ss kama unakutana na demu usafi ni tatizo,bed analala kama gogo,n.k, kwann usiahirishe gemu?hata mm sitaweza kwa kweli!
Kinda ask the same question, nephew.
uwiiiiiiiiiii!!!!!!!!!! hahaaaaaaaa!!!!!! me ndo maana nikitongozwa na mtanashati nakimbia ka mwehu na kama tumekaa mahali naingia chini ya uvungu wa meza ili mradi anione sifai............
siyo wote...........
kama unasisitiza tuonane mimi na wewe.............
Usalimini Malkia wangu, ninakumisije dear.umerudi salama