Wanaume wa Dar katika kashfa nyingine tena

Wanaume wa Dar katika kashfa nyingine tena

Nimesikiliza clip ya dada mmoja anaeelezea mtu alie choma watu kisu ndani ya Daladala. Eti wanaume watu wazima walikuwa wanakanyagana kukimbia.

Hadi mama mmoja jasiri alipo jitolea na kukishika kile kisu cha mvamizi hadi kikamkata vidole.Eti ndipo wanaume wakajitokeza.

Kweli jamani wanaume wa Dar! Hadi msaidiwe na kina mama!

Aibu iliyoje hii

Hao wanaume nawapongeza kwa kukwepa shari wangeozea segerea kwa kosa la kumvamia kichaa mwenye pepo wachafu.
 
Usiseme wa dar niwale walikuwa ndani ya daladala hyo
 
Nimesikiliza clip ya dada mmoja anaeelezea mtu alie choma watu kisu ndani ya Daladala. Eti wanaume watu wazima walikuwa wanakanyagana kukimbia.

Hadi mama mmoja jasiri alipo jitolea na kukishika kile kisu cha mvamizi hadi kikamkata vidole.Eti ndipo wanaume wakajitokeza.

Kweli jamani wanaume wa Dar! Hadi msaidiwe na kina mama!

Aibu iliyoje hii

Wanaume wa dar tunajua mapenzi tuuu, kupigana pigana peleka huko tarime
 
Hao wazee wa ubwabwa, wakimaanisha wali... chezea Dar wewe!! dudumizi09
 
Last edited by a moderator:
Toka juzi nawasikiliza wanavyolia kusimama katika foleni ya BVR, kwa taarifa hizo adha zilikuwa hivyo hivyo huku "mikoani" watu waliahirisha kuvuna mpunga mashambani wakahakikisha wanapata shahada. Komaeni mpate shahada na punguzeni kulia maana hawa Tume hawana msaada. Kubwa zaidi mkipata hizo shahada mjitokeze kupiga kura kupata viongozi sahihi!
 
kwani kina mama si waliumbwa na Mungu kuwa wasaidizi!..vipi bwana?
 
Duh nimecheka sana post za humu ndani aisee kweli unapoweka mada ihariri kwanza maana jf ina kila mtu
 
Wanaume wa dar tunajua mapenzi tuuu, kupigana pigana peleka huko tarime

Mapenzi gani wake zenu wana tuma tiketi za ndege!

Ule Chips , Mahindi ya kuchoma kwa chumvi na limao uwe na nguvu za kupampu!!
 
Mapenzi gani wake zenu wana tuma tiketi za ndege!

Ule Chips , Mahindi ya kuchoma kwa chumvi na limao uwe na nguvu za kupampu!!

Mapenzi akili nguvu kwenu watu wa mkona,wakulima..
 
Kwenye mabasi hao itakuwa wakuja. Wanaume wa Dar wapande mabasi ya kwenda wapi? - Fikiri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom