Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,696
- 11,297
wanaume wa dar utawapenda kwenye supu ya pweza tuu,
Vipi wake zenu wameacha kuagiza wanaume Kenya?
wanaume wa dar utawapenda kwenye supu ya pweza tuu,
Sàsa yale ya rombo yana tofauti gani na hii kashfa ya wanaume wa dar???
Rombo kilichozidi ni mkuu wa wilaya kulifanya tatizo kuwa la kila mme. Mtajisikiaje kama mkuu wenu akaibuka kwenye media na kuwatuhumu wanaume wote wa dar
kama wanaume wenyewe ni dizain ya le mutuz na kibonde una tegemea nn?
Wanaume wa Dar wanakula chips dume na chai.
Waache kula miguu ya kuku na vichwa vya kuku
Chips mayai zimezidi sana Dar.
Ndizo zinafanya wanaume wanakuwa lege lege.
tatizo la kula maembe kwa pilipili...
Wanaume wa dar acheni kula chips mayai... Ndio zinawafanya muwe legelegee
1...
Ndio maana hata nchi zina wawakilishi! hao wachache wa kwenye dala dala waliwawakilisha nyie wengi ambao hamkuwemo katika dala dala!
Issue siyo ya Ronbo issue ni wanaume wa mikoani nje ya dar wanasaidiwa kwa wake zao na jamaa toka Kenya