Wanaume wa Dar katika kashfa nyingine tena

Wanaume wa Dar katika kashfa nyingine tena

dudumizi09

wanaume wa Dar wako kwenye daladala moja!
 
Last edited by a moderator:
Teh Teh hii thread vituko vitupu!
 
Wanaume wa Dar na Wananchi wote wa dsm ni wapuuzi na waoga sana!! Utakunda konda anatukana matusi ya nguoni mijitu yote inakaaa kimya!! Ukisema kuingilia kati ati wanakuita kwani we askari!!!
Wapuuzi kabisa hasa wanaume wa dar mnaogopa panya road,wanafunzi wananyanyasika mibaba mizima kimya ndani ya gari!!!!
 
1. Hivi wanaume wa Dar wote walitoshaje kwenye lile basi..??
2. Wanaume wa Dar wote hawana magari binafsi au waliyopewa na wanakofanyia kazi hadi wakajazane kwenye lile daladala moja..??
3. Wanaume wa Dar wote walikosa madaladala hadi wajazane kwenye daladala moja..??
4. Wanaume wote wa Dar walikuwa wanaelekea sehemu moja ambako lile daladala lilikuwa linaelekea..??
5. Haya, wanaume wa Dar 'wanasaidiwa' na wanawake, nyie ambao si wa Dar 'mnasadiana' wenyewe kwa wenyewe..??

Mkuu dudu..
Povu hilo unaweza kufulia hata magunia.....
 
Wanaume wa Dar na Wananchi wote wa dsm ni wapuuzi na waoga sana!! Utakunda konda anatukana matusi ya nguoni mijitu yote inakaaa kimya!! Ukisema kuingilia kati ati wanakuita kwani we askari!!!
Wapuuzi kabisa hasa wanaume wa dar mnaogopa panya road,wanafunzi wananyanyasika mibaba mizima kimya ndani ya gari!!!!


Unazungumzia na hawa walioingia leo toka Nanjilinji, Kishumundu, Itaka, Katoro, Kyerwa, Kirando, Litapwasi, chilonwa, Mibiki mitali, Lupiro, Pangani, Singu, Meatu, etc... au wale waliingia kule miaka mingi..??
 
Wanaume wa dar w@jing@ sana Kazi kula chipsi mayai nguvu watapata wapi? Hata huyo aliyeuawa ni kwa msaada wa watu wa mikoani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom