Wanaume wa Dar katika kashfa nyingine tena

Wanaume wa Dar katika kashfa nyingine tena

wewe dar sio kama huko kwenu, ukuileta ushujaa wa kiboya unapoteza fasta na majanga unaachia familia yako, akili kichwani ulinzi wako unao mwenyewe!

Na sufulia lote hilo una andika hivi! Khaa!!!!
 
Bahati yake nipo Arusha lkn angetoa matapishi mekundu.
 
Eti wanaume wa Dar Role ModeL wao NUHU MZIWANDA.

Ebu acha utani mkuu!!

Yaani Nuhu Mziwanda wa Shilole ndio awe Role model wa Wanaume ya Dar?

Na ma Inspector, na Ma IGP, na Generali, na Mawaziri, na wale wa TISS wote?
 
dudumizi09

1. Hivi wanaume wa Dar wote walitoshaje kwenye lile basi..??
2. Wanaume wa Dar wote hawana magari binafsi au waliyopewa na wanakofanyia kazi hadi wakajazane kwenye lile daladala moja..??
3. Wanaume wa Dar wote walikosa madaladala hadi wajazane kwenye daladala moja..??
4. Wanaume wote wa Dar walikuwa wanaelekea sehemu moja ambako lile daladala lilikuwa linaelekea..??
5. Haya, wanaume wa Dar 'wanasaidiwa' na wanawake, nyie ambao si wa Dar 'mnasadiana' wenyewe kwa wenyewe..??

haka ka kitu tunakapuuzia tu ila ni ka kashfa kazito sana ukikachanganya na lile li kashfa la panya road ndo soo linapozid
 
Last edited by a moderator:
Mm natoa Assignment kwa Wanaume wa Dar make naona mmejitetea sana! Wavivu hata kwenye Sanduku la BVR!

Haya: Tarehe 25 Oct 2015 mje kivingine. Tarehe 24 usiku, msicheze mechi za kwenye Chup.i.
Nawahakikishia nitawasafisha kama Jairo.
 
Ww una Uhakika gani kuwa Wanaume Waliokuwa Kwa Daladala ni Wa dar es salaam

Mkuu kweli na wewe hamnazo aisee kwani hiyo daladala ilikuwa ya wapi?? kigoma tabora singida songea au mbeya??

ushaambiwa ni daladala ya dar inamaana abilia waliokuwepo humo ni wakazi wa dar pia?!au wewe umeelewaje hapo??.

kwani wanaume wa dar wewe wafikilia ni wakina nani hasa??.
 
Kula round nyingi uwanjani ni nguvu wala si akili.

Mngekua na akili msingebebwa mgongoni wakati wa Mafuriko!!

Pesa ndio inaongea....bob..ndiovmaana tunabebwa wakat wa mafuriko sasa unataka tupige mbizi
 
Upo mrembo? Hongera kwa mfungo.
Eti ni kweli waume zenu walibebwa mgongoni wakati wa Mafuriko?

Nipo mrembo, hujambo? mumeo hajambo?

Kusema useme wee ukweli uniulize mimi? kama si ujuha ni nini huo?

Muulize aliekwambia.
 
Aisee mbona aibu zinazidi kwa wanaume wa Dar....????
 
Kudadadeki, yaani mtu sikujuwi tena ni mdada tu changudoa anayeliwa na wengine nikukingie kifua nipoteze maisha yangu juu yako, utailea familia yangu? Jamaa kama angenijia mimi na hiko kisu lazima ningemshikisha adabu ila si kwa changudoa "Mama wa jumuiya."
 
mi ningekuepo eneo la tukio huyo jamaa asingechukua hata dakika 3 Tyar meno hana kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom