Wanaume wa Dar katika kashfa nyingine tena

Wanaume wa Dar katika kashfa nyingine tena

Kweli mkuu hata mimi niliisikiliza clip ile ila nilisikitika sana kwanini wanaume walishindwa kumdhibiti.


Wanaume wa Dar mje mjibu tuhuma hapa.

Ulitaka wote tukapande hiyo daladala?
watu wengine ka mmetapikwa vile!!
 
Uanaume wetu hauishii kwenye kuonyesha ujasiri katika mambo ya kipuuzi pekee kwa kuwa huku mjini shamba lako ni mfuko wako.....
 
Kweli mkuu hata mimi niliisikiliza clip ile ila nilisikitika sana kwanini wanaume walishindwa kumdhibiti.


Wanaume wa Dar mje mjibu tuhuma hapa.

Arusha one-kwani watu wote wanapanda mabasi/daladala za dar ni wenyeji wa dar,..?....juzi nimemuona Preta,easymutand,filipo waking'ang'ania gari la mbagala kutokea kariokoo...kesho yake wakarudi kwao huko sitimbi.
Hapo jee,...?

Nakusalimia tu mkuu-longtime no see youu
 
Last edited by a moderator:
Arusha one-kwani watu wote wanapanda mabasi/daladala za dar ni wenyeji wa dar,..?....juzi nimemuona Preta,easymutand,filipo waking'ang'ania gari la mbagala kutokea kariokoo...kesho yake wakarudi kwao huko sitimbi.
Hapo jee,...?

Nakusalimia tu mkuu-longtime no see youu


Hahahahaha!!

Umekuwa mtetezi wao?

Uko hapo kikazi tu kiongozi waache wanadarisalama wajitetee.


BTW mimi na wengine hatujambo.....tunachakarika tushike chapaa.
 
Last edited by a moderator:
katika ubora wao ilibidi watokee dirishani maana hakuna namna.
 
Na huyo mwanamke atakuwa ni mwanamke wa Rombo bila shaka.
Wife-beating-husband.jpg
2Q==
attachment.php



...Au ukute ni mkenya 🙂)
 
dudumizi09

si hapo tu mkuu hata kwenye sanduku la kura ni hivyo hivyo,

mimi nadhani mashine za bvr zingeharika kabisa huko dar maana hawa jamaa wanatuaribia sana,

hawako makini katika mambo mengi,
 
Last edited by a moderator:
ni kweli kabisa wanaume wa dar walaini sana wanachoweza kuvaa suruali chini ya matako afadhali wanawake wanavalia kiunoni.
 
Huenda wengi wa hao wanaume waliokuwemo ndani ya hilo basi ni wenyeji (wazawa) wa Dar.
 
Tuacheni na DSM yetu! Visu tumepigwa sisi na Mwanaume mwenzetu wa DSM, nyie huko Mashambani kinawauma nini? Tulieni, tutakuja kuwapa mrejesho wa kitakachomkuta yule mwehu!

Yule mwehu tulim kill fasta mkuu
 
........Aha ha ha ha! Ila kwa maneno tu, mmewazidi hadi hao wanawake wanaopambana na Wauaji. Naupenda Mkoa wangu Dar es salaam pamoja na watu wake.

Hapa ndio dar...porojo njingii ukwel sifuri...usiende kichwa kichwa na kujifanya shujaa...watakukuta mochwar.watu wana stress za maisha..wanawehuka tu ovyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom