Wanaume wa Dar katika kashfa nyingine tena

Wanaume wa Dar katika kashfa nyingine tena

Mi naona kidoogo hii kashfa inabebeka,kwa maana
waliosomea au wanaoruhusiwa na wanalipwa kukamata waarifu ni polisi.
lakini ile ya Rombo,ya wanawake kwenda kukodi wanaume nchi jirani
sio kukamata waarifu,au kulima bali kuongeza koo,
hii kazi hata ukitoa taarifa polisi wawasaidie wamama hao
haitawezekana.

Wanaume wa Dar wanajitambua kwani
majukumu yao wanayatekeleza,na yale
ya jeshi la polisi wanaiachia polisi.
 
Tumewasoma na mimatusi yenu,subiri sikukuu za Christmas na mwaka mpya
nione mtu akijisogeza eti nimboost,lazima ulambe kibao ndo utajua kama tunaenda gym au la!
si mnajifanya mnajua kuthibiti vibaka mnajisahau kutafuta pesa
mnasubiri kutupiga mizinga,eti si unajua bro huku vijijini pesa ni shida.
lakini kumwaga matusi ndo mko mstari wa mbele.
subiri mtakula jeuri yenu.
 
Mimi naogopa sana vita ya kisu....nikiona nakimbia hakuna mwanamume wala mwanamke. Kama mwanamke alishika basi taimingi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom