Abuhunna
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 409
- 233
Kweli mkuu hata mimi niliisikiliza clip ile ila nilisikitika sana kwanini wanaume walishindwa kumdhibiti.
Wanaume wa Dar mje mjibu tuhuma hapa.
mada haiwahusu wanaume wote waliopo Dar, ni wale tu waliokuwepo ndani ya daladala kwa wakati huo, acheni kuhusisha wasiohusika period