Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 5,502
- 11,601
1. Hivi wanaume wa Dar wote walitoshaje kwenye lile basi..??
2. Wanaume wa Dar wote hawana magari binafsi au waliyopewa na wanakofanyia kazi hadi wakajazane kwenye lile daladala moja..??
3. Wanaume wa Dar wote walikosa madaladala hadi wajazane kwenye daladala moja..??
4. Wanaume wote wa Dar walikuwa wanaelekea sehemu moja ambako lile daladala lilikuwa linaelekea..??
5. Haya, wanaume wa Dar 'wanasaidiwa' na wanawake, nyie ambao si wa Dar 'mnasadiana' wenyewe kwa wenyewe..??
Ngalikihinja, ninavyokufahamu katika post zako, wewe ni zaidi ya ulichokiandika. Labda iwe unatania au una maana nyingine. Kuna kitu sampling.
Last edited by a moderator: