Hawkins
Member
- May 23, 2015
- 58
- 11
Kwa hili mimi naomba kusema kwamba sikuwepo Dar wakati tukio linatokea na nilirudi likiwa limetokea. Kwa hili hizi aibu hazinihusu maana kwa kweli sikuwepo na ni jambo la aibu sana kwa kweli kwetu sisi wanaume.
Naungana na watu wa nje ya Dar kulaani vikali sana wanaume wenzangu wa Dar waliokuwepo wakati tukio linatokea bila kujali alikua ndani ya daladala au la. Ni aibu kubwa kwa hii jinsia ya kiume,kwamba mama mmoja baada ya kumlainisha yule kibaka ndio wanaume wakajitokeza kumuua, haikubaliki na ni jambo la aibu na la kukemea.
Kazi ya mama likuwa kumkamata na wanaume kumalizia, dar es salam ushirikiano DSM oyeeeeee