Wanaume wa Dar bana!

Wanaume wa Dar bana!

Jamaa yangu wa Dar aniniambia kwa sasa Dar kuna baridi sana kiasi kwamba kama huna water heater inabidi upange foleni ya kuchemsha maji na watoto.
Binafsi sidhani kama Dar es salaam kuna baridi ya namna hiyo.
ukielewa kuhusu mabadiliko ya hari ya hewa utakua mpole
 
Wanaume wa Dar maziwa wanatia sukarii

Ila K-vant - Nyagi - Sungura etc wanagonga kavuu
 
Aisee nipo Mafinga hapa, hili baridi sio la kawaida

Yaani kila mtu anatoka kamasi nyepesi na hana mafua.

Sijui watoto wakiambiwa waandike imla huko mashuleni hua inakuaje
 
Jamaa yangu wa Dar aniniambia kwa sasa Dar kuna baridi sana kiasi kwamba kama huna water heater inabidi upange foleni ya kuchemsha maji na watoto.
Binafsi sidhani kama Dar es salaam kuna baridi ya namna hiyo.
Hakuna baridi kiasi hicho,maana nimetoka huko juzi kuna ka ubaridi flani hivi,na hii naona inatokana na mabadiliko ya tabia nchi...
 
Baridi hili kwa wanaume wa Dar sasa wanaomba sana wadada utamu...
 
Jamaa yangu wa Dar aniniambia kwa sasa Dar kuna baridi sana kiasi kwamba kama huna water heater inabidi upange foleni ya kuchemsha maji na watoto.
Binafsi sidhani kama Dar es salaam kuna baridi ya namna hiyo.
Baridi litoke wapi dar
 
Back
Top Bottom