Wanaume wa Dar bana!

Wanaume wa Dar bana!

Baridi mbona hamna, nimetoka mbeya huko ndio kuna baridi, hapa kuna joto
 
Ila maisha ya Dar, ni full tafrani, eti vitu vya kuku ambavyo huku mkoani tunatupa, km utumbo, kichwa, na miguu,
Wao ndo wanatengeneza vizuri na kulaa.
😂😂😂😂😂 Lol
Ni kweli kule hawatupi kitu
 
Daaah we jamaa una masikhara
Dar ina baridi mpk usiku tunavaa masweta.. ndio maana mimi siwezi kukaa mji tofauti na Dar nishazoea hali ya hewa ya Dar mikoani nateseka mno
 
Daaah we jamaa una masikhara
Dar ina baridi mpk usiku tunavaa masweta.. ndio maana mimi siwezi kukaa mji tofauti na Dar nishazoea hali ya hewa ya Dar mikoani nateseka mno
Daaah! We jamaa, hacha uzembe.
 
Dar kwa sasa inacheza 21' hadi 22' lazma tuhisi baridi maana tushazoea 31'-33' throughout the year.
 
Jamaa yangu wa Dar aniniambia kwa sasa Dar kuna baridi sana kiasi kwamba kama huna water heater inabidi upange foleni ya kuchemsha maji na watoto.
Binafsi sidhani kama Dar es salaam kuna baridi ya namna hiyo.
Hapa unamzungumzia baba yako au umetujumuisha wanaume wote wa Dar? Una uhakika wote tunalalamika baridi au ni huyo ndugu yako?
 
Back
Top Bottom