Wanaume wa Dar bana!

Wanaume wa Dar bana!

Ila maisha ya Dar, ni full tafrani, eti vitu vya kuku ambavyo huku mkoani tunatupa, km utumbo, kichwa, na miguu,
Wao ndo wanatengeneza vizuri na kulaa.
😂😂😂😂😂 Lol
Hawa jamaa wa ajabu! Badala ya kula vichwa vya samaki, wanakula vya kwiyoo...
 
Miili imezoea joto saiv baridi yote hii kwanini wasiseme. Saiv kuna barid hatari sipati picha makete na wenzie
 
Back
Top Bottom