Wanaume wa Dar bana!

Wanaume wa Dar bana!

dalili zinaonyesha;-
#DAR
*kutakuwa na ongezeko kubwa 123% MARADUFU la waathirika wa UKIMWI,
*ikiwa hali ya hewa ya baridi itaendelea hivi mpaka majira ya kiangazi.
#guest house vyumba vinajaa kila siku, ni mwendo wa kutwanga maji kwenye KINU.
 
Uzuri ni kwamba nilioga jana usiku 😁

2019 nimeishi Njombe
2022 nimeishi Songea

Sasa inatakiwa tuishi kwa mazingira dar kuna baridi kali leo sijaoga asubuhi imenibidi nitumie perfyum
 
Sijui mleta mada alipo, ila hii inategemea na eneo analoishi kila mtu.
Kama wewe hauoni baridi, inawezekana kwa wenyeji ndio msimu wa baridi.

Hata wewe ulipo unaona baridi, akija mtu aliyetoka nje au sehemu yenye baridi kuliko wewe, na yeye anakuona hivyohivyo kama unavyowaona watu wa Dar
 
Back
Top Bottom