Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,088
- 72,506
Kuna watu wana kazi kubwaMpaka unajiuliza huyu yuko jf kufuatilia wanawake wa jf!! Ukishawajua alafu ikusaidie nini. Dume zima huna kazi kazi kufuatilia wanawake unatafuta kuolewa au!!!
Nakuambia wanaume wa humu ni waongo,,wambeaa sisi ni malaika htuwafikii ,,halaf wale wanaochonga sana midomo wana sura mbayaa hawatazamikii unaamua kumuachia Mungu,