Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,088
- 72,506
Binam nyir vidume bana sasa hivi mwanaume akituma pesa ya kusuka anakuja kulalama jfHahahahahah maisha yanaenda kasi sana!! Humu tuliokua tukihonga Vitz na IST tulitemwa nyakati hizo sasa nimeshangaa hata wa kuhonga IST siku hizi hawapo tena wamebaki wadangaji!!!