Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ahahhah hamna ila nakuogopa tu halaf huwa natamani nikujue tu ulivyo na ninavyokuwazia ila nikifikilia ninavyokuogopa nguvu zote zinaniisha naweza kuja nataka kukupm nikusalimie uwoga ukinizidi nafuta text nahema naghaili kila kitu
Ha ha ha mimi nafanana na Pogba ndio maana nimeweka hio avatar! Itabidi nibadili ID ssio kwa kuogopwa huku!
 
Ha ha ha mimi nafanana na Pogba ndio maana nimeweka hio avatar! Itabidi nibadili ID ssio kwa kuogopwa huku!
Hapana avatar usibadili sijui sababu nampenda pogba au sababu me ni man u hiyo sura ya kiume huwa nakuogopa tu na mambo mengine sio kuhusu avatar
 
Kuna watu wana kazi kubwa
Nakuambia wanaume wa humu ni waongo,,wambeaa sisi ni malaika htuwafikii ,,halaf wale wanaochonga sana midomo wana sura mbayaa hawatazamikii unaamua kumuachia Mungu,
Hapo pa umbea ndio acha kabisa, kuna mmoja aliwahi jisifia kuwa alitongozwa na wanawake wawili humu, tena hao wanawake maarufu tu humu. Kuja kufuatilia kumbe muongooooooo, kazi kuchafua wenzao tu sijui wafaidike na nini. Alafu lijitu lizima tu hadi unabakii kumuonea mkewe na wanae huruma.
 
Back
Top Bottom