Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Mbona ni kanuni ya wazi ya maisha.

Ukiwa na shida na hela ya bure muombe baba yako ama kaka yako. Hao ndio wanaume ambao mko naturally bonded na they expect nothing from you zaidi ya upendo.

Mwanaume mwingine zaidi tofauti na hao hatoi pesa zake bure, hakuna kitu cha bure, ukitaka kula ukubali kuliwa.

Mwanaume anampatia msaada mwanamke ambae sio ndugu yake kwa mabadilishano, toa utamu nikupe pesa, hakuna kitu cha bure.

Kwani unadhani huyo mwanaume hana ndugu zake wanaohitaji ama wenye shida na hiyo 30k ama yeye hana shida nayo hiyo 30k? Wap wengi tu ila anaamua kuchukua maamuzi magumu ya kukupa wewe na kuwanyima wao kwa sababu wewe kuna kitu unampa cha kumfariji angalau kupunguza machungu ya kutoa 30k yake.

Ukitaka kula lazima uliwe, hii ni natural law of life.
Du kazi kweli. Nililijua mapema hili, siombi hela ya mtu. Kama nina shida namkopa ndugu au rafiki yangu na kurudisha kama nilivyoahidi. Tusipende vya bure, kama una shida kopa kwa mtu na umrejeshee bila usumbufu.
 
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Wee ulishawahi mpatia mwanaume pesa?
 
Kitakwimu wanawake ni wengi kuliko wanaume, kwanini hiyo 30K usiwaombe wanawake wenzako ?! Kama sio umalaya ni nini ?!

Hiyo 30K unataka upewe kana kwamba ni yako, uliiweka kwa huymdm mwanaume ?! Ukweli pia ni kwamba wanawake hawana akili ?!
Halafu kasema KUOMBA maana yake harudishi.. Sasa muombwaji anafaidika nini kwenye hiyo process nzima ya kuombana hela? MBUSUSU TU, kama vipi akaombe kwa wanawake wenzie
 
Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Nadhani hii tuiweke hivi!

Mf;mimi mwanaume nikiwa na shida ya pesa simuombi rafiki yangu anipe nachofanya namkopa kwamba nitamrudishia nikiipata na nitafanya hivyo kweli so na ninyi kinamama muwe mnafanya hivyo ila nyie mkishapewa mnamzungusha mtu mpaka anachoka mwisho wa siku anaona isipotee bure ngoja akuombe ngono na ukweli mnajikuta hamna kingine cha ku-offer zaidi ya kupanua upaja.
 
Mbona ni kanuni ya wazi ya maisha.

Ukiwa na shida na hela ya bure muombe baba yako ama kaka yako. Hao ndio wanaume ambao mko naturally bonded na they expect nothing from you zaidi ya upendo.

Mwanaume mwingine zaidi tofauti na hao hatoi pesa zake bure, hakuna kitu cha bure, ukitaka kula ukubali kuliwa.

Mwanaume anampatia msaada mwanamke ambae sio ndugu yake kwa mabadilishano, toa utamu nikupe pesa, hakuna kitu cha bure.

Kwani unadhani huyo mwanaume hana ndugu zake wanaohitaji ama wenye shida na hiyo 30k ama yeye hana shida nayo hiyo 30k? Wap wengi tu ila anaamua kuchukua maamuzi magumu ya kukupa wewe na kuwanyima wao kwa sababu wewe kuna kitu unampa cha kumfariji angalau kupunguza machungu ya kutoa 30k yake.

Ukitaka kula lazima uliwe, hii ni natural law of life.
Huyu mrembo yupo in dream land
 
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Mkuu huna ndugu wa kiume au hata ndugu zako wa kike mpaka umuombe mtu usiye na undugu nae?
Yaani kabisa huna hata ndugu wa mbali ambaye unaweza kumweleza shida yako mpaka umwombe mwanaume?

Anyway mimi nina dada, na utaratibu aliyojiwekea akiwa na shida ya pesa ni lazima anitafute mimi kwanza maana mimi ndo kaka yake na ni mdogo wake, akikosa kwangu atamtafuta mfanyakazi mwenzie

Sasa nyinyi mnashindwa nini kuwaomba wanawake wenzenu? Au hata ndugu basi

Kifupi ulichoandika ni upuuzi na mtombwe tu hakuna namna
 
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Pindi utakapo move on na kurudia kusoma unachoandika kwasasa, ndipo utaelewa ni stress zinakuandama
 
Back
Top Bottom