Political stability
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 905
- 1,410
Nipe mbususu , nikupe hela, kama hutaki kamuombe baba ako... Usipo nipa mbususu, naenda kununua malaya..
Umemaliza. Umasikini ni tatizo kubwa.Wew huna wazazi mpaka uanze kuomba wanaume pesa ambao hawajakuoa?
Ukianza kuomba hela mwanaume kwanza akilini anaona huna tofauti na Malaya...
Mwanaume akikupenda atakupa hela mwenyew...
Sema nini tutunze watoto wetu wa kike..tabia za kuomba wanaume hela ni sababu ya umaskini uliopo kwenye familia nyingi
Halafu huo utamu unaosemekana mpo ni upi huo, pipi ni tamu ok lakini utam wa pipi na mate ya mtu, so huo utamu sio kutoka kwenu bali ni hisia binafsi za mtu. Hakuna mwenye utamu bali ni hisia tu, na ndio maana unaweza kusikia utamu wa aina ule ule ambao ungeusikia ukiwa na mwanamme au mwanaume nje yao.Yani 30k uifuate nyumbani kwake? Ni mnakaa mtaa mmoja ama?
Ukitaka kula sharti uliwe. Wewe una shida ya hela na yeye ana shida ya utamu.
Ni kweli wanawake wengi wako hivyo. Anakuomba pesa kama kukupima imani au kukukomesha flani hivi. Ukiona unampa mwanamke hela na yeye harudishi shukrani au hupati unachokitaka ni bora uache tu... kama unataka utamu na mwanamke anakuzungusha kwa kukuomba omba pesa na wewe unatoa ni bora ukaacha. Mwanamke anatoa utamu hata bila hela vizuri kabisa.Najibu kwa niaba ya wengi, sio kwamba hatupendi kuwapa hela au chochote kutoka kwetu hapana! Kwanza huwa tunajisikia fahari sana tunapo mpa mtu kitu haswa mwanamke.
Lakini nyie wanawake mmekuwa wadanganyifu sana, mmekuwa wasio na shukurani na kujali, mmekuwa wa ku ignore munaemuona hana kitu au hawapi kwa wakati mkitakacho, lakini pia mmekuwa wa kupokea tu nyie hamjali kutoa kwetu isipokua hii sehemu ya mwili wenu,hata shukurani basi mngetupa hata ya kinafki.
Malalamiko na maoni mengi ya wanaume inaonyesha ni jinsi gani wengi mpo hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume wa JF nini shida linapokuja suala la mwanamke kuomba pesa? Nimesoma comments chache zimeandikwa kwa hasira nyingi.
Tafuteni pesa kaka zangu ni kawaida mwanaume kuombwa pesa na sio lazima kutoa vilevile.
Nafikiri kanuni ya kutoa ni kutotarajia chochote kwa unayempa...mengine ni manunuzi na hongo tuNi kweli wanawake wengi wako hivyo. Anakuomba pesa kama kukupima imani au kukukomesha flani hivi. Ukiona unampa mwanamke hela na yeye harudishi shukrani au hupati unachokitaka ni bora uache tu... kama unataka utamu na mwanamke anakuzungusha kwa kukuomba omba pesa na wewe unatoa ni bora ukaacha. Mwanamke anatoa utamu hata bila hela vizuri kabisa.
Pesa zako mpe mtu anaekupenda, anaeshukuru ama la toa kama unampa rafiki bila kutegemea malipo yoyotel
Tunaomba ujengewe sanamu tumtoe yule askari wa Posta uwekwe wewe na tunaomba pia ikiwezekana comment yako tukuwekee lamination nakuhifadhiwa pale makumbusho kwaajili ya faida ya vizazi vitakavyokuja shukrani umetisha sana bidada 💞💞Yani 30k uifuate nyumbani kwake? Ni mnakaa mtaa mmoja ama?
Ukitaka kula sharti uliwe. Wewe una shida ya hela na yeye ana shida ya utamu.
Kwani mwanamke kuombwa mbususu siyo kawaida?Wanaume wa JF nini shida linapokuja suala la mwanamke kuomba pesa? Nimesoma comments chache zimeandikwa kwa hasira nyingi.
Tafuteni pesa kaka zangu ni kawaida mwanaume kuombwa pesa na sio lazima kutoa vilevile.
Huu msumari wa moto.Yani 30k uifuate nyumbani kwake? Ni mnakaa mtaa mmoja ama?
Ukitaka kula sharti uliwe. Wewe una shida ya hela na yeye ana shida ya utamu.
Na wenyewe wasije humu kulalamika kuwa tunawanyima hela.Kwani mwanamke kuombwa mbususu siyo kawaida?
Halafu wanakazana tu kutuambia, MWANAUME TAFUTA HELA VINGINEVYO WAREMBO UTAISHIA KUWAITA SHEMEJI... Sasa tukitafuta ili tusiwaite shemeji nayo inakuwa shida kutwa kutulalamikia kuwa tunamegeuza mapenzi kuwa biashara...Na wenyewe wasije humu kulalamika kuwa tunawanyima hela.
Shida sio kutuomba shida wamekuwa omba omba sisi wenyewe tuna majukumu mengi ya Wazazi, ndugu zetu wa karibu na mimi binafsi sasa nikiwekeza sana kwako mafanikio ya maisha nitayapataje, siri ya kuwa na maisha mazuri ni lazima uwe mchumi sometime kumbuka tupo kwenye level ya mahusiano tu sio mke wangu kwanini ni risk kiasi hichoWanaume wa JF nini shida linapokuja suala la mwanamke kuomba pesa? Nimesoma comments chache zimeandikwa kwa hasira nyingi.
Tafuteni pesa kaka zangu ni kawaida mwanaume kuombwa pesa na sio lazima kutoa vilevile.
Akikujibu nitagKwani mwanamke kuombwa mbususu siyo kawaida?
Hiyo imeandikwa wapi? Mimi kinachonifurahisha wadada wa kibongo ni maadvocate wa 50/50 lakini wanaishi tofauti na hiyo ishu.Wanaume wa JF nini shida linapokuja suala la mwanamke kuomba pesa? Nimesoma comments chache zimeandikwa kwa hasira nyingi.
Tafuteni pesa kaka zangu ni kawaida mwanaume kuombwa pesa na sio lazima kutoa vilevile.
🤣🤣Halafu wanakazana tu kutuambia, MWANAUME TAFUTA HELA VINGINEVYO WAREMBO UTAISHIA KUWAITA SHEMEJI... Sasa tukitafuta ili tusiwaite shemeji nayo inakuwa shida kutwa kutulalamikia kuwa tunamegeuza mapenzi kuwa biashara...
BY THE WAY, wanasahau kuwa wanwake wanauoza mbususu ni wafanya biashara pekee wanaouza bidhaa na kisha kuondoka nayo..
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwanza kwanini umuombe pesa?
Wewe ndio chanzo cha tatizo, yaani mkiishiwa pesa mnaamini sisi ndio hatuishiwi.
Hata sisi tuna shida zetu na tunaishiwa, ila sisi Wakinga kuipata pesa yetu utumie akili ya ziada.
[emoji16][emoji16][emoji16]BIASHARA MATANGAZO HUYU NAE ANAJITANGAZA KIMYA KIMYA
Tuna Rudi Kule Kule kwenye ubinafsiTatizo la wanawake wanajiona wanayo "HAKI YA KUOMBA NA KUPEWA"
yaani yeye anataka akiomba umpe, unapewaje hela kizembe aise?
ImagineKwanini usiombe hiyo pesa Kwa wazazi wako au kaka Zako, wajomba zako n.k