Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Kinachonishangaza hawa wanawake hawaamini kama wanaume nao ni binadamu kama wao,Mzunguko wa pesa hauchagui jinsia.
Juzi nikakutana na status nyingi za wadada wakidai mwanaume anayeitikia sawa baada ya kuambiwa bando limeisha wanamwita anaitikia kama mbuzi?!😂😂Yaani eti mwanaume asikose pesa...
 
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Sasa nikupe pesa ya bure kwani mie babako?
Mwenye jukumu la kukuhudumia ni mzazi wako na mmeo tu basi ila tofauti na hapo lazima utumike
 
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Inategemea kama ye anapotaka unamzinguwa nawe lazima uzinguliwe mamba vululuvululu.
 
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
well said
 
Huna ndugu mpaka uombe watu Baki?

Mbona wanaume hawawaombi ninyi?

Acha kujidhalilisha na kuuvua utu wako na thamani yako kama mwanamke!

Muombe Mumeo pesa, omba wazazi pesa, omba ndugu zako pesa hasa mliozaliwa wote au ndugu za Baba au Mama yako.

Hakuna upendo kwenye kuomba omba watu Baki.

Mwanamke anayeomba pesa mtu asiye mume wake huwaga wanaume tunakuwa tunamchukulia Kwa namna ya kupekee
anhaaa
 
Tafuta pesa zako dada, tafuta pesa huone ni jinsi gani ni Raha kuzila bila kupangiwa... Pesa ya mtu anayeitwa mwanaume ni lazima akitoa ilipwe tu, akikusaidia basi ujue ana expect something from you. Wachache Sana ndiyo husaidia mwanamke bila kutegemea kitu, lkn wanaume wengi akikusaidia ujue jiandae kutoa mbususu, atakusumbua tuu... Mwanaume ambaye ukimuomba hawez tegemea kitu Toka kwako ni baba, kaka.na ndugu wengine. Lkn siyo asiye ndugu yako Tena awe anaisaka Kwa jasho haswaaa utaisoma namba.
Upewe ulinzi wa kutosha
 
Nilishaombwa sana pesa na wanawake na wote walioniomba niliwajibu sina ila nina mchongo wa kazi ambao naweza kuwapa wakapata hiyo pesa wanayoihitaji.

wengi wao walinijibu, eti wana shida ya haraka so hawezi fanya kazi kwa sasa so nimsaidie kwanza kisha akitatua shida yake basi atarudi kufanya kazi.

nikamuamini wa kwanza nikampa kwa kumwambia nakukopesha ukmaliza shda yako anza kazi unilipe pesa yangu,baada ya shida kuisha namtajia kazi akaniambia hawezi fanya hiyo kazi

nikamwambia basi nilipe hela yangu,akatafuta hela yangu anapojua akanilipa na ukawa mwisho wa urafiki na yule binti hadi na leo, mwingine nae hvyo hvyo mwsho akasema hawezi fanya hyo kazi, kama ilivyo ada nilidai changu akanilipa ikawa mwisho wa mazoea na huyo dada.

nilichogundua kwa wadada ni wavivu na hawapendi kazi zisizo za mauzo, yuko radhi afanye kazi barbershop alipwe 50k kwa mwezi kichwan mwake akijua atahongwa na wateja zaidiiiii ya 20k per day.

yuko radhi afanye kazi mlimani city mshahara 100k nauli kula humo humo ila sio afanye kazi mama ntilie mshahara 7000 per day.

wadada ni wavivu wapenda vya bure,FULL STOP.
 
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Kibaharia zaidi, huwa hatusemi hatuna hela, hata kama hamna hata mia mbovu, Pisi ikiomba mbala, inapatikanagaa mbona.
 
Wanaume wa JF nini shida linapokuja suala la mwanamke kuomba pesa? Nimesoma comments chache zimeandikwa kwa hasira nyingi.
Tafuteni pesa kaka zangu ni kawaida mwanaume kuombwa pesa na sio lazima kutoa vilevile.
Wanatafuta na ndo maana Wana OMBWA wao. Wewe unahisi ni kwanini mwanamke asiombe Hela Kwa mwanamke mwezie?

Hakuna mwanaume asiye na hela.Sema zinatoka Kwa hisabati.
 
Labda ni kwa vile sikulifahamu hili kwa undani zaidi, ndio maana nikajikuta naumiza moyo wangu tu

Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka

Kumbe siku hizi mapenzi hakuna? Hamjali utu, ndo maana wengi wenu mnaishia kulaumu kuwa tunawapiga vizinga kumbe tatizo ni ninyi

Inafikia muda unakuwa na shida na pesa may be, akili yako inajiset kuwa ngoja nimtafute John nimuombe pesa, aniombe penzi, nitatue tatizo langu

Wanaume kuweni na utu, achaneni na mapenzi biashara, upendo utoke moyoni, kwani bila kufanya nae mapenzi huwezi kumpatia pesa?
Kumbe watu wanafaidi hivi?
Mbona mimi sijuagi hili natoaga tu?
@mabaharia
 
Wanaume wa JF nini shida linapokuja suala la mwanamke kuomba pesa? Nimesoma comments chache zimeandikwa kwa hasira nyingi.
Tafuteni pesa kaka zangu ni kawaida mwanaume kuombwa pesa na sio lazima kutoa vilevile.
Najibu kwa niaba ya wengi, sio kwamba hatupendi kuwapa hela au chochote kutoka kwetu hapana! Kwanza huwa tunajisikia fahari sana tunapo mpa mtu kitu haswa mwanamke.
Lakini nyie wanawake mmekuwa wadanganyifu sana, mmekuwa wasio na shukurani na kujali, mmekuwa wa ku ignore munaemuona hana kitu au hawapi kwa wakati mkitakacho, lakini pia mmekuwa wa kupokea tu nyie hamjali kutoa kwetu isipokua hii sehemu ya mwili wenu,hata shukurani basi mngetupa hata ya kinafki.

Malalamiko na maoni mengi ya wanaume inaonyesha ni jinsi gani wengi mpo hivyo.
 
Wanatafuta na ndo maana Wana OMBWA wao. Wewe unahisi ni kwanini mwanamke asiombe Hela Kwa mwanamke mwezie?

Hakuna mwanaume asiye na hela.Sema zinatoka Kwa hisabati.
Wangekua na za kutosha wasingekua na hasira hivi. Imagine mtu hajaombwa yeye ila kaandika comment kwa hasira.

Kuomba hela inategemea how comfortable uko kwa unaemuomba. Labda na yeye alijisikia amani kumuomba huyo alotaka utamu akajua atapewa tu kumbe mwenzie ana mahesabu yake mengine
Lakini sio lazima pia kutoa
 
Back
Top Bottom