Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Asante kwa maelezo mazri. Ila mtu yoyote anaetoa huwa anatarajia kitu fulani baada ya kutoa ama ni furaha baada ya kutoa, ama ni shukurani baada ya kutoa, au kuthaminiwa kwa ule moyo wa kutoa pamoja na kile ulichotoa, au kupata baraka na wengine kupata sex position.
Kutoa bila kutarajia lolote ni UONGO,,,,, watu tu wamekuwa Manipulated ili Wazungu watupige.

Hata wale wanasaidia masikini huwa wanatarajia Baraka kwa Mungu,,,Yaani hawatoi kwa ajili ya wanayempa msaada,,,ila wanatoa ili Mungu awaone wametoa then wanatarajia kuongezewa, baraka n.k.. so hawatahitaji kujitangaza kwa binadamu ila wataamini Mungu anawaona...na ENDAPO wakiandamwa na mabalaa hukumbuka yote na kuanza kuona kama Mungu anawalipa tofauti na matendo yao mema(kulalamika).

Msomaji sio lazima uelewe sasa,,, Jipe Muda...
 
Na hapo anaona ni haki yake wewe umpe hiyo hela, mkuu hawa viumbe ni waajabu sana. Niko mbioni kuandika uzi nitakao utetea vema kwa dondoo za kutosha jina la uzi nitauita: -

"Labda tusiwalaumu sana, ukweli ni kwamba Wanawake hawana akili"
The unpaid Seller Fanya hivyo haraka hiyo tittle imekaa poa sana mzee hawa ni mwendo wakuwapiga spana tu mpaka wabadilike mentality yao usinisahau kunitag kwenye huo uzi please sasa hivi Wanaume tumeamka
 
Na hapo anaona ni haki yake wewe umpe hiyo hela, mkuu hawa viumbe ni waajabu sana. Niko mbioni kuandika uzi nitakao utetea vema kwa dondoo za kutosha jina la uzi nitauita: -

"Labda tusiwalaumu sana, ukweli ni kwamba Wanawake hawana akili"
Please usisahau kunialika[emoji120]
 
Ndio shida ya wadada wanaona kuomba na kupewa pesa ni haki yao ndio maana wengi wao wanakuwa hawana shukrani na hii inawafanya wawe wabinafsi
Yaani hawana shukurani kabisa yaani, bora hata mada kama hizi zinafungua wengi, maana unaweza kusema ni upende wangu tu kumbe ni tatizo la jamii nzima.
 
Kwa mwanaume wa sasa ukiwa na shida labda na elfu 30 ukampigia simu kumuomba, atakwambia njoo uijie nyumbani, na pindi unapofika kwake hakuna cha ziada mbali na kufanya nawe mapenzi kwanza ndipo akupe kiasi unachokitaka
Kwani ni adhabu, si ni entertainment tu kama vile kukaribishwa soda?
 
Mapenzi yapi unayozungumzia...??, Wewe kwenye hayo maelezo yako wapi unaona kuna Mapenzi...,,,tafsiri ya UTU kwako ni kupewa hela na Mwanaume...??,,ulimpa akuwekee hio hela,,? unamdai..?? Yeye hana ndugu wa kuwasaidia..??..... Wewe kuombwa UCHI ndio kijana amekosa UTU,,??,,ila wewe kuomba hela ndio Mapenzi.??? ,,kama hutaki kutoa mbunye si ungebaki kwenu na shida zako,,,na yeye umuache na hela zake...

Ndugu WANAUME,,,MILELE katika maisha yako usiwahi kujisikia vibaya mwanamke akikuita jina lolote baya kisa tu ulikataa kumpa hela...Mpuuze,,,na uendelee na maisha yako,,, Wanazipenda hela zetu, ila hata sisi tunazipenda pia..

Be a Man, Stay Taliban.
Asante mkuu maana tuliwahi kuitwa mpaka shetani kisa tu sio nilimnyima bali sikua nayo na nilikua na dharura.
 
Kutoa bila kutarajia lolote ni UONGO,,,,, watu tu wamekuwa Manipulated ili Wazungu watupige.

Hata wale wanasaidia masikini huwa wanatarajia Baraka kwa Mungu,,,Yaani hawatoi kwa ajili ya wanayempa msaada,,,ila wanatoa ili Mungu awaone wametoa then wanatarajia kuongezewa, baraka n.k.. so hawatahitaji kujitangaza kwa binadamu ila wataamini Mungu anawaona...na ENDAPO wakiandamwa na mabalaa hukumbuka yote na kuanza kuona kama Mungu anawalipa tofauti na matendo yao mema(kulalamika).

Msomaji sio lazima uelewe sasa,,, Jipe Muda...
Asante bro kwa kunielewa[emoji120]
 
Aisee! [emoji15][emoji15]
 
Wangekua na za kutosha wasingekua na hasira hivi. Imagine mtu hajaombwa yeye ila kaandika comment kwa hasira.

Kuomba hela inategemea how comfortable uko kwa unaemuomba. Labda na yeye alijisikia amani kumuomba huyo alotaka utamu akajua atapewa tu kumbe mwenzie ana mahesabu yake mengine
Lakini sio lazima pia kutoa
...
255621899312_status_9477feb89cc34b4ba03ef4f021798178.jpg
 
Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake tatizo wengine kutaka kujitutumua ilhali hali zenu wenyewe za kujikongoja!
Sio kujitutumua mkuu bali ni moyo tu wa wanaume wengi ilivyo yupo radhi akose yeye alale njaa yeye amsevu some people haswa mwanamke, mfano mdogo tuu angalia jogoo huwa chochote anachopata humpa mtetea, so wanaume wengi tuna asili hio acha wachache wanaotoa kwa matarajio negative bali huwa tunasikia ka amani fulani hivi kum support mtu. Malalamiko mengi kutoka kwa wanaume ni return ya wenzetu imekua ndogo mno kama haipo kabisa.
 
Sio kujitutumua mkuu bali ni moyo tu wa wanaume wengi ilivyo yupo radhi akose yeye alale njaa yeye amsevu some people haswa mwanamke, mfano mdogo tuu angalia jogoo huwa chochote anachopata humpa mtetea, so wanaume wengi tuna asili hio acha wachache wanaotoa kwa matarajio negative bali huwa tunasikia ka amani fulani hivi kum support mtu. Malalamiko mengi kutoka kwa wanaume ni return ya wenzetu imekua ndogo mno kama haipo kabisa.
Sasa hio ni kesi yako na moyo wako!
 
Huu msumari wa moto.
Japo sikubaliani na hili.
Kumla mtu kisa amekuomba 30k ni sawa na kumbaka au kununua changu.
Atakupa lakini hisia zake hazipo kwako.
Atajua yeye!

Yeye kama atakuwa hana hisia.

Kwanini kapata hisia kuomba hela[emoji1]

Ni 3xchang3 tu. Yeye kapata hisia ya kuomba hela,Mwanaume ana hisia ya mbususu na life goes on.

MAISHA NI BIASHARA. NA BIASHARA NI KUBALISHANA.
 
Mapenzi yapi unayozungumzia...??, Wewe kwenye hayo maelezo yako wapi unaona kuna Mapenzi...,,,tafsiri ya UTU kwako ni kupewa hela na Mwanaume...??,,ulimpa akuwekee hio hela,,? unamdai..?? Yeye hana ndugu wa kuwasaidia..??..... Wewe kuombwa UCHI ndio kijana amekosa UTU,,??,,ila wewe kuomba hela ndio Mapenzi.??? ,,kama hutaki kutoa mbunye si ungebaki kwenu na shida zako,,,na yeye umuache na hela zake...

Ndugu WANAUME,,,MILELE katika maisha yako usiwahi kujisikia vibaya mwanamke akikuita jina lolote baya kisa tu ulikataa kumpa hela...Mpuuze,,,na uendelee na maisha yako,,, Wanazipenda hela zetu, ila hata sisi tunazipenda pia..

Be a Man, Stay Taliban.
Umesema vema arif. Kijana kuomba mbunye amekosa utu ila huyo mwanamke kuomba hela tena kajipangia 30K ni sawa.
 
Back
Top Bottom