Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Wanaume mmeyafanya mapenzi kuwa biashara

Kuomba wala sio tatizo ila tatizo liko hapa kama ulikuwa ni muombaji alafu ukamuomba mwanaume ukiwa unatatizo serious mwanaume lazima akushushe thamani na wala usihesabie huo ni upendo ataona nitabia yako ya upigaji vizinga lakini kama ulikuwa sio muombaji ikatokea ukawa una shida serious hiyo hamna shida hata mwanaume anaweza akakupa bure hata bila masharti na atachulia tatizo lako kiuzito sasa mtoa mada yupo kwenye kundi lipi nilizongumzia
Nashengena
Rosemary 255
Championship
Krait
Rebeca 83
mzabzab
Umejibu vyema mkuu, niongezee tu hapo kuwa huyo mwanamke ana mahusiano gani na huyo mwanaume, kuna uhusiano wa kirafiki au ushkaji tu, na uhusiano wa mapenzi, sasa kumuomba mwanaume ambaye ni rafiki wa kawaida haina shida, lakini kama ni mpenzi hilo ni tatizo kubwa na linawakatisha wanaume wengu tamaa, ukweli ni kwamba wanaume wengi wanachukia tabia ya kuombwa ombwa hela na wanawake, inabore, kingine pia inategemea huyo anayeombwa hela urafiki/ uhusiano wenu una muda gani, sa unakuta mtu mmefahamiana tu wiki moja unaanza kumuomba hela, lazima ashtuke, maoni yangu hapa ni kwamba wanawake tuache hii tabia ya kuomba omba hela wanaume, tujitaidi kutafuta za kwetu, lakuni tatizo lingine tusiwe na matarajio sana ya kupata pesa kwa mwanaume unapomuomba, naye pia wakati mwingine anakosa, so kwa hili tujerekebishe, lakini kwa upande wa kiumeni, kama hauwezi kumsaidia mtu ni bora uache but sio kumsaidia kwa conditions, unless labda kama kalazimisha mwenyewe, ni bora umwambie sina kuliko umpe hela umuharibie utu na thamani yake.
 
Kwanza kwanini umuombe pesa?
Wewe ndio chanzo cha tatizo, yaani mkiishiwa pesa mnaamini sisi ndio hatuishiwi.

Hata sisi tuna shida zetu na tunaishiwa, ila sisi Wakinga kuipata pesa yetu utumie akili ya ziada.
Mlitumwa muwe wanaume?
 
Kwahiyo mmefikia muafaka gani?

Ila hela zenu tamuuu, acheni uchoyo mtupatie tu.
 
Kwahiyo mmefikia muafaka gani?

Ila hela zenu tamuuu, acheni uchoyo mtupatie tu.
Kwa mentality uliyonayo dada yangu ni ngumu kumpata mwanaume atayekuoa utapata Wanaume wanaokutumia tu kimwili kwa generation hii hakuna mwanaume muoji ambaye atapenda kuwa na mwanamke dependent
 
Kwa huyo mentality uliyonayo dada yangu ni ngumu kumpata mwanaume atayekuoa utapata Wanaume wanaokutumia tu kimwili kwa generation hii hakuna mwanaume muoji ambaye atapenda kuwa na mwanamke dependent
Jiongelee mwenyewe ndugu yangu, dunia haizunguki kichwani kwako.
 
Kwanza kwanini umuombe pesa?
Wewe ndio chanzo cha tatizo, yaani mkiishiwa pesa mnaamini sisi ndio hatuishiwi.

Hata sisi tuna shida zetu na tunaishiwa, ila sisi Wakinga kuipata pesa yetu utumie akili ya ziada.
kunywa soda hapo kwa mangi nitalipa mkuu.. umeongea saafii na kweli mno
 
Kwani Huyo Mwanaume yeye kafanyaje akaipata hiyo Elfu 30 wewe ukashindwa kufanya Hicho kitu na wewe ukaipata hiyo elfu 30? Kujiepusha na Kulaumu watu humu

Je ulishamuomba Mwanamke Mwenzako hiyo elfu 30 akakujibuje.

Pesa hutafutwa ndugu haziombwi. Ukiomba Kubaliana na Masharti ya Uliyemuomba. Hata Nchi Yetu inaomba na Inapewa Masharti kibao na Inawezekana ingekuwa mwanamke basi Ingekuwa Malaya

Kuwa na Chako uone kama utalaumu Wanaume
mkuu umeandika kwa ghadabu sanaa ila ni ukweli mchungu huyu binti kuleta hii mada si bure mada imekaa KITANGAZO TANGAZO hii.. anatafuta customers
 
Back
Top Bottom