Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 36,245
- 71,878
Sasa hapa ndo utaona akili za wanaume wanaotetea ubakaji eti chanzo ni mwanamke au msichana kuwa ni mafwalaa...Nahisi kusisimka jamani uwiii,
Kilichonifanya nilete huu uzi nilikua napiga story na polisi kituoni ghafla linaletwa janaume limembaka mtoto wake mwenyewe wa miaka miwili tena wamelifumaniwa red-handed imagine!!!
Kuna mwingine alimbaka mtoto wake pia wa mwaka na nusu, akamnyonga na kumtupia kwenye mfereji wa maji.
Sasa hapo huyo mtoto anabakwa na baba ake ni kuwa alitembea na kimini? Au huyo baba ni kichaa kinamsumbua yani mwanaume ambae hawezi kuresist hisia zake na utupu wa mwanamke achilia mbali mtoto huyo hawezi kuwa baba wala sio mwanaume wa kawaida...