Wanaopewa fidia ili wahame bonde la Msimbazi, itawatosha kununua kiwanja na kujenga?

Mr Nyau

JF-Expert Member
Oct 18, 2018
1,129
2,341
Wanaopewa fidia ya milioni 6 ili wahame bonde la Msimbazi- Dar itawatosha kununua kiwanja na kujenga?
Maana milioni 6 naona Kama ni ndogo, kwanini wasingepewa nyumba (apartment za pale Magomeni)?

NOTE: FIDIA NI HURUMA YA RAIS TU

Kinadharia hata wasingepewa kwa mujibu ya watoa hela.

Vipi ukikataa kuondoka maana ardhi ni yako watakuondoa? Kwa lazima? Milioni 6 ni ndogo Sana lakini.


Namnukuu Benjamin Netanyahu katika moja ya comment yake humu JF

"Kiwanja Dar ni shs ngapi? Yeye akipewa 4M anaweza kujenga nyumba ya kuishi na kununua kiwanja Dar? wakati hao wananchi wananunua na kujenga Serikali ya CCM ilikuwa wapi? Ni kutafuta sifa za hovyo bila sababu za msingi"

by Benjamin Netanyahu
 
Lile eneo ni hatarishi, sidhani kama ni ruhusa kujenga pale, Serikali imefanya uzembe kwa miaka mingi kuwaacha na wao wakajihalalishia kwamba Wana haki, sasa kama wanafurushwa wapokee Tu hizo 4m wakaanze maisha kwa kupanga, Ila kama wanavibali halali vya umiliki kutoka Ardhi, hilo ni suala lingine, wakomae walipwe zaidi.
 
Lile eneo ni hatarishi, sidhani kama ni ruhusa kujenga pale, Serikali imefanya uzembe kwa miaka mingi kuwaacha na wao wakajihalalishia kwamba Wana haki, sasa kama wanafurushwa wapokee Tu hizo 4m wakaanze maisha kwa kupanga, Ila kama wanavibali halali vya umiliki kutoka Ardhi, hilo ni suala lingine, wakomae walipwe zaidi.
100%
 
Huu ndio wakati wa mwenyekiti wetu wa chama kikuu cha upinzani kuonesha huruma yake kwa watanzania.

I mean kwa vile miaka yote tumekaririshwa kuwa mwenyekiti wetu ni tajiri toka enzi za mababu zake, na amejitolea kuutumia utajiri wake kuwakomboa watanzania. Basi angejitokeza wakati huu kuwasaidia watanzania hao, kwa kuwajengea kila mmoja chumba na baraza ili kutufanya sisi tusioamini kile tulichokaririshwa, tuamini kuwa kweli mwenyekiti amejitolea kuwasaidia watanzania.

Huwezi kutuambia kuwa mwenyekiti wetu wa chama ni tajiri na amejitolea kuwakomboa watanzania huku akikusanya mamilioni ya michango ya watanzania masikini kumalizia nyumba yake iliyokuwa imekwama kwa kukosa ruzuku ya chama.

Dunia ya leo watu wanaaminiwa kwa vitendo, na sio kwa maneno kupitia chawa wa kupandikiza mitandaoni.

Ajitokeze kuwasaidia wanyonge hao ili kujitengenezea mtaji wa kura katika uchaguzi mkuu.

Ni aibu kuona kiongozi wa chama anaesifiwa kuwa ni tajiri anashindwa kuwasaidia watu wenye uhitaji, alaf anakuja katibu mwenezi asiekuwa na kitu anawasaidia watu hao, kisha wakipigia kura chama cha katibu mwenezi kutokana na kuona huruma yake kwao, yule tajiri uchwara anajitokeza kudai wameibiwa kura.

Hapo ndo tunapokosea. Wakati wenzetu kina bashite wanajitolea kuwasaidia masikini kwa ajili ya kuvuna kura katika chama chao, sisi viongozi wetu wa upinzani wanakwapua kile kidogo wachokuwa nacho masikini kupitia michango isiyoeleweka na kwenda kugawana mbele ya safari bila kutoa maelezo ya matumizi ya michango husika. Je kwa aina hii ya uendeshaji chama kuna mtu atatuamini kweli kama tuna nia ya kuwakomboa?
 
Huu ndio wakati wa mwenyekiti wetu wa chama kikuu cha upinzani kuonesha huruma wake kwa watanzania.

I mean kwa vile miaka yote tumekaririshwa kuwa mwenyekiti wetu ni tajiri toka enzi za mababu zake, na amejitolea kuutumia utajiri wake kuwakomboa watanzania. Basi angejitokeza wakati huu kuwasaidia watanzania hao, kwa kuwajengea kila mmoja chumba na baraza ili kutufanya sisi tusioamini kile tulichokaririshwa, tuamini kuwa kweli mwenyekiti amejitolea kuwasaidia watanzania.

Huwezi kutuambia kuwa mwenyekiti wetu wa chama ni tajiri na amejitolea kuwakomboa watanzania huku akikusanya mamilioni ya michango ya watanzania kumalizia nyumba yake iliyokuwa imekwama kwa kukosa ruzuku ya chama.

Dunia ya leo watu wanaaminiwa kwa vitendo, na sio kwa maneno kupitia chawa wa kupandikiza mitandaoni.

Ajitokeze kuwasaidia wanyonge hao ili kujitengenezea mtaji wa kura katika uchaguzi mkuu.

Ni aibu kuona kiongozi wa chama anaesifiwa kuwa ni tajiri anashindwa kuwasaidia watu wenye uhitaji, alaf anakuja katibu mwenezi asiekuwa na kitu anawasaidia watu hao, kisha wakipigia kura chama cha katibu mwenezi kutokana na kuona huruma yake kwao, yule tajiri uchwara anajitokeza kudai wameibiwa kura.
Boring
 
Eneo la Temeke quarters lilipigwa greda lote likawa safiii! Kulikuwa na dampo la takataka likaondolewa baada ya watu kulalamika. Sasa hivi kuna maghorofa apartments zinajengwa, halafu pembeni kuna watu wameanza kujenga vibanda, vingine vya matofali kabisa.

Hao watu siyo tu wabomolewe vibanda vyao, ikiwezekana wafungwe jela kwa makosa ya kuhujumu uchumi.
Kama ulipewa building permit, basi halmashauri husika itabidi uishtaki na kudai fidia, lakini Serikali haitakiwi ikulipe hata senti tano, wewe ndiyo uilipe Serikali.
 
Huu ndio wakati wa mwenyekiti wetu wa chama kikuu cha upinzani kuonesha huruma yake kwa watanzania.

I mean kwa vile miaka yote tumekaririshwa kuwa mwenyekiti wetu ni tajiri toka enzi za mababu zake, na amejitolea kuutumia utajiri wake kuwakomboa watanzania. Basi angejitokeza wakati huu kuwasaidia watanzania hao, kwa kuwajengea kila mmoja chumba na baraza ili kutufanya sisi tusioamini kile tulichokaririshwa, tuamini kuwa kweli mwenyekiti amejitolea kuwasaidia watanzania.

Huwezi kutuambia kuwa mwenyekiti wetu wa chama ni tajiri na amejitolea kuwakomboa watanzania huku akikusanya mamilioni ya michango ya watanzania masikini kumalizia nyumba yake iliyokuwa imekwama kwa kukosa ruzuku ya chama.

Dunia ya leo watu wanaaminiwa kwa vitendo, na sio kwa maneno kupitia chawa wa kupandikiza mitandaoni.

Ajitokeze kuwasaidia wanyonge hao ili kujitengenezea mtaji wa kura katika uchaguzi mkuu.

Ni aibu kuona kiongozi wa chama anaesifiwa kuwa ni tajiri anashindwa kuwasaidia watu wenye uhitaji, alaf anakuja katibu mwenezi asiekuwa na kitu anawasaidia watu hao, kisha wakipigia kura chama cha katibu mwenezi kutokana na kuona huruma yake kwao, yule tajiri uchwara anajitokeza kudai wameibiwa kura.

Hapo ndo tunapokosea. Wakati wenzetu kina bashite wanajitolea kuwasaidia masikini kwa ajili ya kuvuna kura katika chama chao, sisi viongozi wetu wa upinzani wanakwapua kile kidogo wachokuwa nacho masikini kupitia michango isiyoeleweka na kwenda kugawana mbele ya safari bila kutoa maelezo ya matumizi ya michango husika. Je kwa aina hii ya uendeshaji chama kuna mtu atatuamini kweli kama tuna nia ya kuwakomboa?
Mbowe ni mchaga. Bahili awezi TOA hela
 
Eneo la Temeke quarters lilipigwa greda lote likawa safiii!
Kulikuwa na dampo la takataka likaondolewa baada ya watu kulalamika.
Sasa hivi kuna maghorofa apartments zinajengwa, halafu pembeni kuna watu wameanza kujenga vibanda, vingine vya matofali kabisa.
Hao watu siyo tu wabomolewe vibanda vyao, ikiwezekana wafungwe jela kwa makosa ya kuhujumu uchumi.
kama ulipewa building permit, basi halmashauri husika itabidi uishtaki na kudai fidia, lakini serikali haitakiwi ikulpe hata senti tano, wewe ndiyo uilipe serikali.
Wanaowauzia maeneo hayo kwani hawawapi utaratibu za namna ya kujenga.. ?? Unakuta eneo limepangwa vizuri nyumba nzuri pembeni nyumba imejengwa haiendani na mpangilio huo..
 
Wanaopewa fidia ya milioni 6 ili wahame bonde la msimbazi- dar itawatosha kununua kiwanja na kujenga?
Maana milioni 6 naona Kama ni ndogo kwanini wasingepewa nyumba (apartment za pale magomeni) ?

NOTE: FIDIA NI HURUMA YA RAIS TU
kinadharia hata wasingepewa kwa mujibu ya watoa hela.


Vipi ukikataa kuondoka Maana ardhi ni yako watakuondoa? Kwa lazima?Milioni 6 ni ndogo Sana lakini


na mnukuu Benjamin Netanyahu
katika moja ya comment yake humu Jf
"Kiwanja Dar ni shs ngapi? yeye akipewa 4M anaweza kujenga nyumba ya kuishi na kununu kiwanja Dar? wakati hao wananchi wana nunua na kujenga serikali ya CCM ilikuwa wapi? ni kutafuta sifa za hovyo bila sababu za msingi"
by Benjamin Netanyahu
Ni nani aliewaambia wakajenge pembezoni mwa mto?
Huu ndio wakati wa mwenyekiti wetu wa chama kikuu cha upinzani kuonesha huruma yake kwa watanzania.

I mean kwa vile miaka yote tumekaririshwa kuwa mwenyekiti wetu ni tajiri toka enzi za mababu zake, na amejitolea kuutumia utajiri wake kuwakomboa watanzania. Basi angejitokeza wakati huu kuwasaidia watanzania hao, kwa kuwajengea kila mmoja chumba na baraza ili kutufanya sisi tusioamini kile tulichokaririshwa, tuamini kuwa kweli mwenyekiti amejitolea kuwasaidia watanzania.

Huwezi kutuambia kuwa mwenyekiti wetu wa chama ni tajiri na amejitolea kuwakomboa watanzania huku akikusanya mamilioni ya michango ya watanzania masikini kumalizia nyumba yake iliyokuwa imekwama kwa kukosa ruzuku ya chama.

Dunia ya leo watu wanaaminiwa kwa vitendo, na sio kwa maneno kupitia chawa wa kupandikiza mitandaoni.

Ajitokeze kuwasaidia wanyonge hao ili kujitengenezea mtaji wa kura katika uchaguzi mkuu.

Ni aibu kuona kiongozi wa chama anaesifiwa kuwa ni tajiri anashindwa kuwasaidia watu wenye uhitaji, alaf anakuja katibu mwenezi asiekuwa na kitu anawasaidia watu hao, kisha wakipigia kura chama cha katibu mwenezi kutokana na kuona huruma yake kwao, yule tajiri uchwara anajitokeza kudai wameibiwa kura.

Hapo ndo tunapokosea. Wakati wenzetu kina bashite wanajitolea kuwasaidia masikini kwa ajili ya kuvuna kura katika chama chao, sisi viongozi wetu wa upinzani wanakwapua kile kidogo wachokuwa nacho masikini kupitia michango isiyoeleweka na kwenda kugawana mbele ya safari bila kutoa maelezo ya matumizi ya michango husika. Je kwa aina hii ya uendeshaji chama kuna mtu atatuamini kweli kama tuna nia ya kuwakomboa?
 
Lile eneo ni hatarishi, sidhani kama ni ruhusa kujenga pale, Serikali imefanya uzembe kwa miaka mingi kuwaacha na wao wakajihalalishia kwamba Wana haki, sasa kama wanafurushwa wapokee Tu hizo 4m wakaanze maisha kwa kupanga, Ila kama wanavibali halali vya umiliki kutoka Ardhi, hilo ni suala lingine, wakomae walipwe zaidi.​
Eneo hatarishi kwa mantiki ipi? Yaani Serikali kushindwa wajibu wake kujenga kingo za mto kuuthibiti usifurike kwenye makazi ya watu lawama unakuja kuwatupia wananchi? Hizo kodi wanazokusanya ni kwa ajili ya kufisadi tu na kujinunulia ma viieite.​
 
Wanaopewa fidia ya milioni 6 ili wahame bonde la msimbazi- dar itawatosha kununua kiwanja na kujenga?
Maana milioni 6 naona Kama ni ndogo kwanini wasingepewa nyumba (apartment za pale magomeni) ?

NOTE: FIDIA NI HURUMA YA RAIS TU
kinadharia hata wasingepewa kwa mujibu ya watoa hela.


Vipi ukikataa kuondoka Maana ardhi ni yako watakuondoa? Kwa lazima?Milioni 6 ni ndogo Sana lakini


na mnukuu Benjamin Netanyahu
katika moja ya comment yake humu Jf
"Kiwanja Dar ni shs ngapi? yeye akipewa 4M anaweza kujenga nyumba ya kuishi na kununu kiwanja Dar? wakati hao wananchi wana nunua na kujenga serikali ya CCM ilikuwa wapi? ni kutafuta sifa za hovyo bila sababu za msingi"
by Benjamin Netanyahu
KAMA HAIWATOSHI WAENDELEE KUKAA HUMO ILI WAJIFIE KIPUMBAVU.
 
Wanaowauzia maeneo hayo kwani hawawapi utaratibu za namna ya kujenga.. ?? Unakuta eneo limepangwa vizuri nyumba nzuri pembeni nyumba imejengwa haiendani na mpangilio huo..
Ukiuziwa gari huwa unaambiwa siku za kuiosha au uendeshe vipi?
 
Wanaopewa fidia ya milioni 6 ili wahame bonde la msimbazi- dar itawatosha kununua kiwanja na kujenga?
Maana milioni 6 naona Kama ni ndogo kwanini wasingepewa nyumba (apartment za pale magomeni) ?

NOTE: FIDIA NI HURUMA YA RAIS TU
kinadharia hata wasingepewa kwa mujibu ya watoa hela.


Vipi ukikataa kuondoka Maana ardhi ni yako watakuondoa? Kwa lazima?Milioni 6 ni ndogo Sana lakini


na mnukuu Benjamin Netanyahu
katika moja ya comment yake humu Jf
"Kiwanja Dar ni shs ngapi? yeye akipewa 4M anaweza kujenga nyumba ya kuishi na kununu kiwanja Dar? wakati hao wananchi wana nunua na kujenga serikali ya CCM ilikuwa wapi? ni kutafuta sifa za hovyo bila sababu za msingi"
by Benjamin Netanyahu
Hela nyingi sana kuanzia maisha.Jiwe angewatimua bila hata mia mbovu kama wale wa Kimara-Kibaha,Vyeti fake nk

Washukuru Samia Kwa kuwa ni mama ana Moyo wa huruma.
 
Eneo hatarishi kwa mantiki ipi? yaani serikali kushindwa wajibu wake kujenga kingo za mto kuuthibiti usifurike kwenye makazi ya watu lawama unakuja kuwatupia wananchi? Hizo kodi wanazokusanya ni kwa ajili ya kufisadi tu na kujinunulia ma viieite.​
Kwani saizi Serikali inawatoa Ili ifanyaje Sasa.

Tzn ni kubwa unakaa Mabondeni harafu useme Serikali imeshindwa wajibu wake? Hapo pote ni catchment area.

Kwanza wanatakiwa kufurushwa wote ni huruma tuu Samia anafanya.
 
Back
Top Bottom