Wanaodaiwa kuwa Watanzania wakamatwa nchini Kenya wakijaribu kumteka Mwanaharakati Mshabaha Hamza

Wanaodaiwa kuwa Watanzania wakamatwa nchini Kenya wakijaribu kumteka Mwanaharakati Mshabaha Hamza

Hawa Wakenya sio wa kuwaamini sana.
Kuna jamaa anauza mitumba pale kinondoni anaitwa Aziz, jana nilienda dukani kwake kutafuta kiatu nikakuta pamefungwa ndio maduka ya jirani wakasema ni one of those waliokamatwa kenya kwa kuteka,niliuliza imekuaje, stori ikawa hivi

Msimuliaji: Mwakajana Aziz alipata bonge la mteja anaitwa Hidary Msuya, akawa anamuungisha biashara nyingi sana na wakajenga mazoea ya karibu, mara akamtambulisha kwa abduli na akawa anampitia hapo dukani kila siku wanaenda kula bata, mara nyingi walikua wanakutana kigamboni au Arusha kwenye jumba la Mafwele,kwa kua Aziz ni mwenyeji sana Nairobi na Mitumba yake huwa anaichukulia Nairobi jamaa wakaanza kwenda nae Nairobi sisi tukajua ni mambo ya Biashara, kiukweli Azizi alibadilika akawa mtu wa bata na mwenye pesa nyingi huku biashara akawa hafungui tena
Majuzi akatuaga anaenda arusha na huyo msuya mara tukasikia yupo Nairobi hatukujua ameenda kukusanya mzigo, baadae tukapigiwa simu na baadhi ya wafanyabishara wenzetu kule kwamba Azizi amekamatwa Namanga wakiwa wamemlewesha huyo mwanaharakati wanamleta Tanzania

Mpaka sasa mke wake hajui alipo na hqkuna aliemwambia kwamba mumewe amekamatwa,mke ni mzazi mtoto wa miezi sita, inasemekana aziz aliahidiwa pesa nyingi sana na Abdul na alipewa down payment ya maana

Hii ndio story niliyoikuta pale kinondoni dukani kwa aziz

Mshana Jr huyu jamaa utakua unamjua ni mwarabu koko wa tabora
 
Kuna jamaa anauza mitumba pale kinondoni anaitwa Aziz, jana nilienda dukani kwake kutafuta kiatu nikakuta pamefungwa ndio maduka ya jirani wakasema ni one of those waliokamatwa kenya kwa kuteka,niliuliza imekuaje, stori ikawa hivi

Msimuliaji: Mwakajana Aziz alipata bonge la mteja anaitwa Hidary Msuya, akawa anamuungisha biashara nyingi sana na wakajenga mazoea ya karibu, mara akamtambulisha kwa abduli na akawa anampitia hapo dukani kila siku wanaenda kula bata, mara nyingi walikua wanakutana kigamboni au Arusha kwenye jumba la Mafwele,kwa kua Aziz ni mwenyeji sana Nairobi na Mitumba yake huwa anaichukulia Nairobi jamaa wakaanza kwenda nae Nairobi sisi tukajua ni mambo ya Biashara, kiukweli Azizi alibadilika akawa mtu wa bata na mwenye pesa nyingi huku biashara akawa hafungui tena
Majuzi akatuaga anaenda arusha na huyo msuya mara tukasikia yupo Nairobi hatukujua ameenda kukusanya mzigo, baadae tukapigiwa simu na baadhi ya wafanyabishara wenzetu kule kwamba Azizi amekamatwa Namanga wakiwa wamemlewesha huyo mwanaharakati wanamleta Tanzania

Mpaka sasa mke wake hajui alipo na hqkuna aliemwambia kwamba mumewe amekamatwa,mke ni mzazi mtoto wa miezi sita, inasemekana aziz aliahidiwa pesa nyingi sana na Abdul na alipewa down payment ya maana

Hii ndio story niliyoikuta pale kinondoni dukani kwa aziz

Mshana Jr huyu jamaa utakua unamjua ni mwarabu koko wa tabora
Ngoja kutulie kidogo ,kuna kitu nikumbuke.. Kumbe unaweza kuishi na chatu ndani ya nyumba
 
Ngoja kutulie kidogo ,kuna kitu nikumbuke.. Kumbe unaweza kuishi na chatu ndani ya nyumba
Trust no body aisee,unawez akuingizwa king unajiona,imagine genge la mafwele linatumia raia wenzetu wa kawaid akabisa kw akuwarubuni na kodi zetu
 
Kuna jamaa anauza mitumba pale kinondoni anaitwa Aziz, jana nilienda dukani kwake kutafuta kiatu nikakuta pamefungwa ndio maduka ya jirani wakasema ni one of those waliokamatwa kenya kwa kuteka,niliuliza imekuaje, stori ikawa hivi

Msimuliaji: Mwakajana Aziz alipata bonge la mteja anaitwa Hidary Msuya, akawa anamuungisha biashara nyingi sana na wakajenga mazoea ya karibu, mara akamtambulisha kwa abduli na akawa anampitia hapo dukani kila siku wanaenda kula bata, mara nyingi walikua wanakutana kigamboni au Arusha kwenye jumba la Mafwele,kwa kua Aziz ni mwenyeji sana Nairobi na Mitumba yake huwa anaichukulia Nairobi jamaa wakaanza kwenda nae Nairobi sisi tukajua ni mambo ya Biashara, kiukweli Azizi alibadilika akawa mtu wa bata na mwenye pesa nyingi huku biashara akawa hafungui tena
Majuzi akatuaga anaenda arusha na huyo msuya mara tukasikia yupo Nairobi hatukujua ameenda kukusanya mzigo, baadae tukapigiwa simu na baadhi ya wafanyabishara wenzetu kule kwamba Azizi amekamatwa Namanga wakiwa wamemlewesha huyo mwanaharakati wanamleta Tanzania

Mpaka sasa mke wake hajui alipo na hqkuna aliemwambia kwamba mumewe amekamatwa,mke ni mzazi mtoto wa miezi sita, inasemekana aziz aliahidiwa pesa nyingi sana na Abdul na alipewa down payment ya maana

Hii ndio story niliyoikuta pale kinondoni dukani kwa aziz

Mshana Jr huyu jamaa utakua unamjua ni mwarabu koko wa tabora
kuna post ya maria sarungi kule x yan ukiunganisha na hii unapata ukweli wote 100000%
 
Back
Top Bottom