WanaJF Njooni munieleze mnamaanisha nini?

WanaJF Njooni munieleze mnamaanisha nini?

Matatiz. Nakumbuka niliingia if baada ya Kupata matatizo makubwA maishqni
 
Kuna ID moja inaitwa Apitakujilamba, aisee napenda aje atuambie nini kilimfanya achague id hiyo.
 
my user name its ma tribe and am proud to be in that tribe....
my avatar i use and i will never stop loving flowers na hili ua lipo home huwa nalipenda sana...............

Mi penda sana wachaga sijui kwa nini
 
@LINCOLINMTZA
Nimeigia JF siku si nyingi hii ni baada ya muda mwingi wa kusoma na kunufaika na kucheka kwa muda mrefu toka miaka ya 2008.
avatar yangu ni ukweli, jina langu ni Ukweli1 sikuweza tumia ukweli maana ilishawahiwa, sababu kubwa ninataka kujidispline kuongea ukweli na nikichemsha ninaomba msamaha kitu kama sijui ninauliza au kugoogle. Ila nawafagilia sana wala wanaotushekesha kwa namna moja au nyingine wanafanya JF iwe mahali pazuri.

“If you tell the truth, you don't have to remember anything.”
― Mark Twain
 
Last edited by a moderator:
Yeah....for sure...unayo hapo unigee kidogo?!

1424541_567283150033275_1141669389_n.jpg
 
kuna watu nilitegemea kuwaona wakitolea ufafanuzi username zao na avatar ila sijawaona na wameishia ku 'like' post za wenzao tu
 
My username Pretty ni jina langu la utoto, baba alipenda kuniita hivyo likazoeleka. Hiyo Da nimeongeza maana sasa ni dada sio Pretty yule Mtoto. My avatar sasa... Mimi ni mwembamba ila huwa nafikiria kama ningekua bonge ningekua natokaje?
 
Username yangu inajieleza jinsi nilivyo na hata avator unayoiona haiko mbali sana na uhalisia wangu
 
Sijui ni kwanini nilichagua hii username.. I have no idea..lakini

Napenda kuwa mtu nisieleweka..ambaye muda wote hapa jamvini yuko background na kutokea mara chache ku-comment pale tu panapohitaji msaada au tatizo la kweli..

Napenda kuwa simple..simple simple...na sipendi ku-exist katika fikra ya mtu yeyote kwani naamini huo ndio uhuru wa kweli ninaohitaji....

Siamini kama kuna mapenzi ya kweli zaidi ya mama yangu mzazi..ila naamini kuna affection nyingine ambazo ni sehemu tu ya maisha na hazina formula..Lakini nahisi kuna watu wanaamini nawapenda..tena kwa dhati..miaka inaenda mimi siamini au sijui hilo naona ni wajibu wangu au ni sehemu ya maisha tu.. niliwahi kuwa na mjadala mkubwa na AshaDii lakini sikumbuki conclusion ilikuwaje..

At the end..Sijui kwanini nilichagua username ya Tulizo au avatar yake..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom