Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,600
- 6,721
Yaani unanifanya hadi hapa nilipo hii chai nayokunywa niione chungu just niki imagine the way you feel always....nimesoma na signature yako it speaks volumes
Uuuuuuh..
Yaani unanifanya hadi hapa nilipo hii chai nayokunywa niione chungu just niki imagine the way you feel always....nimesoma na signature yako it speaks volumes
Na mimi niseme kitu au nimezee??
My user name imetokana na movie moja hivi....but I think it do describe alot of things pia
My avatar describes one of my character "A very shy girl"
"One day your eyes will open and your mind will learn,with pain and laughter,you will know what you are."
hiyo yote ndio mitaa yangu ya kujidai.....Mpanda hotel nimeishi sana wakati mtoto kabla sijahamia Sumbawanga mjini kwa ishu za shule.
Karibia na huu mwaka unaisha, watu wana usernames na Avatars za tofauti.
Wengine wana username na avatars nzuri, zinazovutia sana mpaka huwa nawawazia kuwa ndivyo walivyo.
Mfano Smile, Sweet, Charminglady, PF
Wengine wana usernames na avatars zinazotisha kiasi kwamba huwa nawawazia kuwa ndivyo walivyo.
Mfano Hamnazo, Gambas, Mlevi,
Kabla mwaka huu haujaisha, naomba tujuane kijamii forumn.
Kwa nini ulichagua hiyo username na avatar hiyo?
Naanza na mimi mzee wa kazi LINCOLINMTZA
Username ni kwa sababu ya raisi wa Marekani aliyekuwa na busara sana bwana Abraham Lincoln
Abraham Lincoln - Wikipedia, the free encyclopedia
Avatar ni kwa sababu napenda watoto ambao ni taifa la kesho.
Wewe je?
Sema bana.....am dying to hear it
Kama mchawi Karaba, mwanangu kila siku akiona ki avater chako lazima aseme
kweli nitaumia kichwa sana.
Nikisema utanipa nini?
hahhaa mie nakupata huko....Jangwani na kantalambaa sec LOL....