WanaJF Njooni munieleze mnamaanisha nini?

WanaJF Njooni munieleze mnamaanisha nini?

Avatar yangu ni Angelina jolie napenda movie zake sana,jina ni kutokana na mim ni mweupe na bado mbichi mbichi sijaliwa sanaa
Wabheja sanaa
 
Deo ni jina langu,na corleone ni godfather wangu. Anapatikana kwenye movie/filamu ya the godfather ya mario puzo. Amenfundisha mengi sana ndo maana nkachagua hilo.
 
Pinno ni kifup cha pinnochio. Wakati nilipokuwa mdogo primary school nilikuwa napenda sana kusoma vitabu vya pinochio,aladin,etc etc .

Avatar ni last tweet ya the one and only king of freestyle bongo .the late Albert Mangwair. RIP Cowbama.
 
A Father = Baba

Avatar = naukubali mmea huo (Aloe Vera) ni dawa nzuri.
 
I love my body skin and color, blaki byuti.. ndio sbb ya kuchagua avatar ya Lauryn Hill. pia naupenda sana wimbo wa killing me softly alioimba akiwa na fugees
 
My avator: picha ya kitu ni kitu chenyewe!!! sijawahi kupaka mkorogo hata cku moja, pia napenda sana dreads Hii ndio hobby yng kubwa, kuwa kama nilivyo... Kuhusu jina mmhh.... nadhani halina maana kivile....
 
Avator yng inaniwakilisha kama nilivyo, napenda sana dread! Huwa inanigharimu sana wkt mwingine kuzifanya mpya kila leo.... sipendi kujichubua wala kutumia chemical za aina yoyote!! Mwisho inawakilisha usikivu nilionao..... Jina halina maana yoyote kivile.....
 
»Napata heshima ma-fans wa kila aina silii njaa
nipo peace linanilinda jina...La Familia lamar
classmate huuuuu tanzaniaaa tanzaniiiiaaaaaaa
me I'm king kong,wanasema eti ma-DJ
wananipendelea kumbe tu nyota yangu
imewadia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom