WanaJF Njooni munieleze mnamaanisha nini?

WanaJF Njooni munieleze mnamaanisha nini?

username ni ufupisho wa jina "mapinduzi" sijazaliwa tarehe ya mapinduzi wala si mshabiki wa ccm... Hahaha...inalengo binafsi. Avataaaaa ntakuwa nshasahau ikoje..hihihi
 
wajamani nilichelewa kuchungulia huku...usernane yangu kulwa ni jna la mama yangu, ng`wana ni mtoto=mtoto wa kulwa=ng`wana ong`wa kulwa
 
hahaaa watu8 hata mimi jina langu na Avatar sawa kabisaaaaaaaaa......sina matatizo....sema inaniletea matatizo kwa sababu baadhi ya watoto hapa ndani hawajibu PM zangu wakidhani napiga sana gambe....daamn

CC Karucee
Hahahaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimeweka picha ya Sheikh Ahmed Yaseen yule kiongozi wa Hammas kwa sababu nilikua na muheshimu sana na alikufa kifo kibaya sana,, na kwanza alikua mlemavu. a,li uwawa kwa rocket za maadui zake!!!! Otherwise leo nitaweka picha yangu halisi
Karibia na huu mwaka unaisha, watu wana usernames na Avatars za tofauti.
Wengine wana username na avatars nzuri, zinazovutia sana mpaka huwa nawawazia kuwa ndivyo walivyo.
Mfano Smile, Sweet, Charminglady, PF
Wengine wana usernames na avatars zinazotisha kiasi kwamba huwa nawawazia kuwa ndivyo walivyo.
Mfano Hamnazo, Gambas, Mlevi,


Kabla mwaka huu haujaisha, naomba tujuane kijamii forumn.
Kwa nini ulichagua hiyo username na avatar hiyo?

Naanza na mimi mzee wa kazi LINCOLINMTZA
Username ni kwa sababu ya raisi wa Marekani aliyekuwa na busara sana bwana Abraham Lincoln
Abraham Lincoln - Wikipedia, the free encyclopedia

Avatar ni kwa sababu napenda watoto ambao ni taifa la kesho.

Wewe je?
 
mwekundu means FULL OF LOVE,Avatar nampenda Zinjanthropus kwa sababu ndo kipindi ambacho binadamu waliishi bila kupandikizana chuki kwa aidha rangi ,ukabila,dini,economic status zao etc WE WERE ONE BLOOD tofauti na hali ilivyo sasa
 
Maskini Jeuri- Haswaa ndivyo nilivyo! Nilihamua kutumia jina hili baada ya kufanya kazi kwenye kampuni ya wahindi wanyanyasaji kweli. Nilipambana nao kiasi cha kufanikiwa kupata mkataba wa hiyari kati ya mwajiri na waajiriwa "Collective bargaining agreement" ambayo ilifanikiwa sana.. BTW nilipenda kutumia Masikini Jeuri ila likawa limewahiwa. Ukiwa mwerevu utagundua tofauti! Danke!
 
hahaha hata mie imenichekesha hiyo...sasa kaka hii avatar yako ndio weye huyu au?
ilikuwa kwenye movie inaitwa 'Analyze this'
ya De Nero akaulizwa na dokta wake
'what do you do for a living'
akajibu ' i am the boss' 'i don't do anything' ...

nilicheka sana
 
LINCOLINMTZA mimi username yangu niliamua kuchukua maneno ya forum hii yaani JAMII FORUM sasa nikaona nijiite JAMIIF ...hiyo avatar inereflect kwa kiasi kikubwa muonekano wangu..kwani hata mie huwa najitanda na ninaelekea kufanana na huyo mdada hapo....thread yako ni nzuri at least tutafahamiana vzr wadau wa hapa jf...asante sana mkuu, nimeipenda thread.
 
Last edited by a moderator:
LINCOLINMTZA mimi username yangu niliamua kuchukua maneno ya forum hii yaani JAMII FORUMS sasa nikaona nijiite JAMIIF ...hiyo avatar inereflect kwa kiasi kikubwa muonekano wangu..kwani hata mie huwa najitanda na ninaelekea kufanana na huyo mdada hapo....thread yako ni nzuri at least tutafahamiana vzr wadau wa hapa jf...asante sana mkuu, nimeipenda thread.
Karibia na huu mwaka unaisha, watu wana usernames na Avatars za tofauti.
Wengine wana username na avatars nzuri, zinazovutia sana mpaka huwa nawawazia kuwa ndivyo walivyo.
Mfano Smile, Sweet, Charminglady, PF
Wengine wana usernames na avatars zinazotisha kiasi kwamba huwa nawawazia kuwa ndivyo walivyo.
Mfano Hamnazo, Gambas, Mlevi,

Kabla mwaka huu haujaisha, naomba tujuane kijamii forumn.
Kwa nini ulichagua hiyo username na avatar hiyo?

Naanza na mimi mzee wa kazi LINCOLINMTZA
Username ni kwa sababu ya raisi wa Marekani aliyekuwa na busara sana bwana Abraham Lincoln
Abraham Lincoln - Wikipedia, the free encyclopedia

Avatar ni kwa sababu napenda watoto ambao ni taifa la kesho.

Wewe je?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom