WanaJF Njooni munieleze mnamaanisha nini?

WanaJF Njooni munieleze mnamaanisha nini?

Prs ni kifupi cha majina yangu..Duuh hii avatar...Nakapenda sana haka ka-myama..Soon nitatupia ya kwangu mwenyeeewe..😉
 
Nimeweka jina lng halisi na kwenye avatar nilitokeaga kuipenda sana ya kiriku nikaamua kuitupia hapa.
 
Sizinga ni jina langu la Ukoo,....si unaona mwenyewe ni Verified User...nipo kitambo hapa tangu enzi za JamboF...nimepitia mengi!!

Hiyo Avatar ni "King Of Jungle" si mnaikumbuka ile Muv ya Apocalpto-Mel Gibson's-I really Like that, msiogope lakini
 
Last edited by a moderator:
Tized matamshi ya Tz, ikimaanisha Tanzania. Kwa nini Tized; Naipenda sana nchi yangu Tanzania na najivunia kuwa Mtanzania.

Avatar. Dr Ben Carson. Nampenda na ni role model katika vitu vingi, maisha yake aliopitia na yangu yana kitu flani ambacho kinafanana sana ila katika mazingira tofauti na tofauti ya fani pi.

Ni Mwanaume kwa maana ya neno lenyewe, ni mpole na aliyeelimika, anaependa na kuthamini watu, anajitoa kwa ajili wa watu na zaidi ya yote Anampenda Mungu.
 
Am so cute kama hiyo avatar hapo,,,, shepu ipo!!!!!! jina ni kifupi cha jina langu.........
 
avatar na user name vyote vinani-describe mimi kwa uhalisia jinsi nilivyo.
 
Avatar yangu kiukweli napenda sana kuwa mtu tofauti katika jamii hasa kua very smart na hivi majuzi tu nimenyoa nywele, nilikuwa na bonge la afro. Id ya kwamtoro ni tarafa moja nzuri sana ipo wilaya ya Chemba mkoa wa Dodoma. kwamtoro ndipo sehemu nilipozaliwa na kukulia kwa kiasi fulani. kwamtoro ni sehemu iliyochangamka,ukiwa na pesa unaishi maisha as if upo town kabisa. Napapenda sana
 
Last edited by a moderator:
Ya kwangu imetokana na wimbo wa wenge bcbg unaitwa banalunda huwa naupenda sana na avatar yangu u can feel it how much i love my .....
.....

[h=3]Les Musiciens ayant participé dans cet Album / Wenge Musica BCBG[/h]
  • Chanteurs:
    • JB Mpiana
    • Werrason
    • Blaise Bula
    • Adolphe Dominguez
    • Alain Mpela
    • Aimelia Liass



  • Animateurs:
    • Tutu Callugi
    • Roberto Wunda



  • Guitaristes:
    • Alain Makaba
    • Ficarré Mwamba
    • Japonais Maladi
    • Burkina Faso
    • Fiston Zamuangana
    • Patient Kusangila



  • Basse:
    • Didier Massela
    • Christian Mwepu



  • Percussion:
    • Ali Mbonda

  • Batterie:
    • Titina Mbwinga

  • Synthé:
    • Theo Bidens
 
LINCOLINMTZA mimi username yangu niliamua kuchukua maneno ya forum hii yaani JAMII FORUM sasa nikaona nijiite JAMIIF ...hiyo avatar inereflect kwa kiasi kikubwa muonekano wangu..kwani hata mie huwa najitanda na ninaelekea kufanana na huyo mdada hapo....thread yako ni nzuri at least tutafahamiana vzr wadau wa hapa jf...asante sana mkuu, nimeipenda thread.

....Aisee Hongera

...Kamoyo kanadunda!!!!
 
username ....move ya beyonce! nimetoka kuwatch kama leo ss kesho yake nikajiunga jf was real obsesd na ile movie bs nikajikuta nimeandika ilo.
avatar! me toto la kisomali fulan iv shombe shombe baibe.

...Aiseeh!!!

Karibu Arusha
 
My avatar, siielezi, iangalie kwa umakini utajua inamaanisha nini.

My ID ni rafiki yangu kipenzi wa O-level. Nimemtafuta sana baada ya kupotezana bila mafanikio. lilikuwa jina lake la utani (a.k.a)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom