Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,359
Mamamaaa kumbe nafuatiliwa duh ndo umeniacha hoi kabisa najua sisi sio wapenzi lkn in general kusema kitu ambacho huwezi kueleza kina chake kinaonesha udhaifu wako kwa namna moja au nyingine!!
Kudadadeki!
Hapa utaniumisha kichwa bureee!
Coz unaona utaonekana siiiiie ukikubali hapa!
...
Si unaona mwenyewe unavyozunguka sana!
...
Nakuja PM!
Na uthiponijibu nakufungulia thired!
Hihihihihihiiiiiiiii!