Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,233
He he he, nikisikia jina la zombie tu, kichwani yanapita mambo kama haya


af babu niombee msamaha kwa konnie haki walahi nilipokuwa naandika kwenye wale three famous Kaunga,king'asti nilijua nimemalizia na yeye!
sijui namubebeb mbeleko gani!
af ujue siku hiz amekuwa too sentimental zombie amefanikiwa kulainisha hii toto la kisukuma!kidogo watu wanapumua humu! Kongosho sweetie may i take this fursa KUKUKISS!
please!
:busu
Asikupe shida kabisa...siku hizi Kongosho amekuwa stingless bee...
Tutaongea naye kumpoza tu ila hata kumwacha hakuna madhara yoyote.
Sasa mbona hujaniunga mkono? Maxence Melo tunampatia zawadi gani ya kufungia mwaka 2013??
Hebu msaidie babu basi na wewe...
Babu DC!!
Sikuwa najua kuwa yu mwoga kiasi hicho. Au ina maana umri wa mtu huongezeka pamoja na aibu zake? Naona hata Kongosho bado anamwonea Zombie aibu....