Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,113
we sema tu hawana ubavu..... dadako Alpha Newa si umemwona? kaishia kupoteza mdogo wetu na lishem la nguvu kwa hao hao wachaga.....
Jamani naomba tusiongelee hyo mambo.
we sema tu hawana ubavu..... dadako Alpha Newa si umemwona? kaishia kupoteza mdogo wetu na lishem la nguvu kwa hao hao wachaga.....
ha haa, we kalaghabao mdogo wangu.af ila kweli
the more zei get krezi ze haya ze riski
sa tufanyaje dada kubwa hebu nipe mwongozo!
mi najua we ni kilaza kwenye umbea tu ila kwenye makitu kama haya!
ehehehehehehhehhe ukoo mzima unakutegemea!
mimi nna hasira na wewe mwaka wa pili huu!Yuko Meatu huko anapambana na watoto wa Erickb52 ila inaelekea wamemshinda anarudi Arusha soon
Hahahahahah sikujua mambo ni mswano kiasi hicho aise
Poa poa wazee wa level 8 bado wapo na pale ni bata kwa kwenda mbele
inamaana mmeshanitoa arusha wing teja? :A S-confused1:Thank you. CC PakaJimmy, Mzee wa Rula Blaki Womani, Preta Filipo, Erickb52, LiverpoolFC, IGWE, marejesho, Cantalisia among all.
mantakhoff mimi mke wenu milele na milele!Jamani naomba tusiongelee hyo mambo.
mimi nna hasira na wewe mwaka wa pili huu!
na hiiishi mpka nilione vogue mlangoni!
haiwezekeni kila mwaka unidanganye tu kama kifaranga cha kuku!
NIMEKUNUNIA!
inamaana mmeshanitoa arusha wing teja? :A S-confused1:
ha haaa, sitamrudisha soon shem, tunaendelea kuwasoma, but really jirekebisheni. Kuna ambaye anataka kuzika ukoo mzima sababu ya penzi mlilokubaliana wenyewe? kwa hiari yenu? maumivu ya mapenzi yapo kwa kila kabila siyo wachaga pekee, why you? hamjiulizi tu jamani?Inasikitisha sana jamani. Ila nakuomba shemeji usiniweke kundi hilo. Ukiniweka humo hautakuwa umenitendea haki. Pia msimrejeshe mdogo wenu kwenu kwa sababu tayari amekuwa wa kwetu.
Fixed Point huoni na mimi wameshanihamisha Arachuga aise sijui nikate rufaa kwa nani kama Arushaone ananiondoa mjiniinamaana mmeshanitoa arusha wing teja? :A S-confused1:
mantakhoff mimi mke wenu milele na milele!
hakyamama dec haiishi bila kumaliza hasira zako!
na BONUS juuu!
we nae nabembeleza uteja kwa teja mwenzio hapo huoni anaweweseka dadangu anataka kurudisha mahari ujue!Afu nimekukosa muda mrefu sana! Mzima wewe?
ha haaa, mi nimepigwa changa la macho eti nipo moyoni..... Ngoja tusubiri changa lakofixed point huoni na mimi wameshanihamisha arachuga aise sijui nikate rufaa kwa nani kama arushaone ananiondoa mjini
ha haa, we kalaghabao mdogo wangu.
Ila kwa sasa tuwalie timing tu tuone mwelekeo wao...
tukiona hawasomeki tunaanza kuchukua tahadhari, hii inabidi kukaa kama kamati
sijui nilie, sijui nicheke.........Wewe uko moyoni mwangu teja wala usijali!!!
mechoka kusubiri mimi!
ha haaa, mi nimepigwa changa la macho eti nipo moyoni..... Ngoja tusubiri changa lako
Babu Dark
City kweli kabisa tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa
wakati huu ambao bado anatuazima pumzi yake bure.
Pia kumshukuru Mungu pia kwa kutupa nafasi ya kutafakari matukio mbali
mbali yaliyotokea katika maisha yetu mazuri na mabaya,,yote kwa yote
tunafundishwa kushukuru kwa kila jambo.
Na tena kwa kutupa marafiki hapa JF na pia kwa elimu nafundisho na
changamoto mbali mbali .
Kipekee namshukuru sana MUNGU kwa kila jambo na kwa kila changamoto
niliyoipata mwaka huu hadi leo nikiwa hapa mbele ya key board.
Mwaka huu kwangu umekuwa na ups and downs za kutosha, but ki ukweli
namshukuru Mungu kwa kunikutanisha na marafiki wa ukweli hapa JF,
niliowaona face to face, na weengine just behind the keyboard. When i
was down karibu ya kuzama kwa kweli mliniinua.MUNGU awabariki sana
sana.
I will always love you ALL
To mention few in behalf Dark City babu yangu
kipenzi, Mwanyasi,
YNNAH, Arabela
CHUAKACHARA,
PakaJimmy, Mzee wa
Rula, Arushaone
Preta, Blaki Womani,
Lily Flower, erckb52
baba JR thanks for being a good father tom my son,
IGWE, Liverpool FC,
Filipo, marejesho,
Kaizer, watu8,
Madame B, Smile,
AshaDii a woman i inspire the most,
Mtambuzi, KakaKiiza,
Nicas Mtei, COPPER,
amu, @Nivfea, Fixed
Point i always remember you my sister, ulikuwa unanifariji
sana in my sand moments, Avemaria,
BAK the BFFL, BHULULU,
Fidel80, Baba V,
mzabzab, gfsonwin,
Simplicity, Tutor B,
charminglady,
sweetlady, Ladymasa,
@C6, Vin Diesel
Mentor, DEMBA wifi
yangu, Mwita Maranya, lara
1, Ennie,
zion Daoghter, babu
Asprin, kaka
Rutashobolwa na wifi yangu
Passion Lady, Eiyer,
Mr Rocky, Karucee,
FirstLady, kiwatengu,
shansharie,
Mamndenyi, Jiwe
Linaloishi, Mungi,
Mkirua you are the best firiend,
The Boss, kipipi,
kokudo, Mutta,
N-handsome, Negrodemus,
zubedayo_mchuzi,
nitonye, Bishanga,
Mamzalendo, Mrembo by
Nature, The secretary,
Zinduna, Ablessed,
Tuko Heaven on Earh,
Lady doctor, Evelyn
Salt, Mzizi Mkavu,
Rweye, MAKOLE
King'asti,
And many many more ambao sijawataja, I owe you my friendship.
Special thanks to JamiiForums FOUNDERS, Tanga Wing, Arusha Wing and Dar
wing.
Nimejifunza mengi kutoka kwenu na nimepata mengi ya faida yatokanayo na
posts/threads kwenye majukwaa yote.
Kwa kumalizia I just wish you a.......
![]()
FRIENDSHIP FOREVER
KOKUTONA
sijui nilie, sijui nicheke.........
all in all, I am humbled....
hivi waspanish wanatumia bastola? au wao hawatendwi? wameingia kwenye game siyo yao....waonee huruma kidogo!
naona washaanza kudata ujue!
siku hizi wamejua vingine vitamu zaidi ya pesa!ehehehehhe hakyamama wamekuwa malover boy waspanish hawaoni ndani chaaaaaaaaaaa!