Wana JF Hawa Wako Wapi?...

Wana JF Hawa Wako Wapi?...

- Wakuu naomba kusema kidogo hapa pembeni, ni muda sasa sijawaona hawa wakuu wawili yaani Capo Kuhani na Mkulu wangu Lunyungu, ningependa kuwaomba kwamba wanahitajika hapa katika kuchangia taifa, rudini wakuu taifa liko njia panda jamani.

- Popote mlipo tafadhalini mniskie kwamba mrudi haraka sana mnahitajika hapa Jf kwenye kumkoma nyani, na wale mliokaribu nao wakumbusheni wakuu hawa kurudi nyumbani hapa.

Respect!

Wazee wa sauti ya umeme FMEs!
 
- Wakuu naomba kusema kidogo hapa pembeni, ni muda sasa sijawaona hawa wakuu wawili yaani Capo Kuhani na Mkulu wangu Lunyungu, ningependa kuwaomba kwamba wanahitajika hapa katika kuchangia taifa, rudini wakuu taifa liko njia panda jamani.

- Popote mlipo tafadhalini mniskie kwamba mrudi haraka sana mnahitajika hapa Jf kwenye kumkoma nyani, na wale mliokaribu nao wakumbusheni wakuu hawa kurudi nyumbani hapa.

Respect!

Wazee wa sauti ya umeme FMEs!


Umefanya jitihada gani kuwatafuta kabla hujatangaza humu? Kwa mfano, ungejaribu kuwatumia PM kwanza, ukiona kimya ndio utundike mtangazo la kuwatafuta hao jamaa!
 
Kuna watu wamepotea jamani Mwafrika wa Kike yuko wapi? Yuko wapi Fikira Duni aka Mtazama Pande Mbili za Shilingi?
 

Umefanya jitihada gani kuwatafuta kabla hujatangaza humu? Kwa mfano, ungejaribu kuwatumia PM kwanza, ukiona kimya ndio utundike mtangazo la kuwatafuta hao jamaa!

Si lazima uwe unachangia kila kitu....
 
FMES

Mbona na wewe ulipotea??? Ila wewe uzuri wako uliaga!

- Duh! katika dunia hii ya ukweli na uwazi na demokrasia, sina sababu yoyote ya kutosema anything, unaweza hata ukasema unakufa na kesho ukarudi na kusema umefufuka hakuna noma, vipi mkuu ni muda sasa unalilia kuhusu kurudi kwangu vipi mkuu ninakubana mbavu nini?

- I mean hii topic ni ya Kuhani na Lunyungu, ukitaka FMEs nifungulie Thread mkuu, au? Wazee wa kuchoma ndizi bwana, bwa! ha! ha! ah! calm down mkuu hii ni forums tu, sio mtihani wa form six kwenda Mkwawa High, relax bro!

FMES!
 
Mkuu FMES
Wengine woote nimewasikia na natoka msituni .Niko Algeria naangalia uchaguzi wa kimabavu .Kesho naelekea Dar kungojea mdundo wa kamati kuu .
 
Vipi huko Algeria? Hali yao ikoje?

Demokrasia vipi na maendeleo?

We missed you hapa Mzee!
 
Vipi huko Algeria? Hali yao ikoje?

Demokrasia vipi na maendeleo?

We missed you hapa Mzee!



Hali si hali ni balaa tupu kama unavyo ona wana CCM wanasema ni JK pekee na kule Bunge linasema ni huyu jamaa pekee na security nk wanasema lazima jamaa awe yeye .Naangalia tu sasa
 
Mkuu FMES
Wengine woote nimewasikia na natoka msituni .Niko Algeria naangalia uchaguzi wa kimabavu .Kesho naelekea Dar kungojea mdundo wa kamati kuu .

Lunyungu Hujaacha FIX zako?
 
Mkuu FMES
Wengine woote nimewasikia na natoka msituni .Niko Algeria naangalia uchaguzi wa kimabavu .Kesho naelekea Dar kungojea mdundo wa kamati kuu .
niliifikiri utakuwa venezuelac na totozi za kilatino....
 
Lunyungu yupo China

China alitimuliwa katika lile sanga la maziwa fake ya melanine... nakisikia alikuwa ameenda kuagiza kama container 2 hivi za 40ft zitue nanga pale Tanga, lakini dili likabumbuluka.... sasa hivi kaamua kuwafata waalgeria ili apate exclusivity za kusupply tende bongo nzima haswa nyakati za sikukuu.... hopefully atafanikisha this time around.. 🙂 🙂 😀
 
Back
Top Bottom