MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,710
- 1,655
Hali si hali ni balaa tupu kama unavyo ona wana CCM wanasema ni JK pekee na kule Bunge linasema ni huyu jamaa pekee na security nk wanasema lazima jamaa awe yeye .Naangalia tu sasa
Lunyungu.
Kunafaa mzee kuzamia huko?
Na bibi wa Kiarabu je ntaweza pata?
ha ha ha!
Vipi siasa zao ni nzuri? maendeleo vipi?