Wana JF Hawa Wako Wapi?...

Wana JF Hawa Wako Wapi?...

1.

2.

Wakuu wote hapo juu heshima mbele sana nimeupata ujumbe wenu jana baada ya kutumiwa na member mmoja hapa, ukweli ni kwamba kuanzia tarehe 22/2/09 ulikuwa ndio mwisho wangu wa kujihusisha na kuchangia mijadala ya siasa hapa JF, baada ya miaka mingi hapa nilifikia uamuzi kwamba nimefika mwisho.

Nimeitumikia JF kwa hali na mali, na I gave everything as far as siasa is concerned, unajua kwa mwanasiasa kama mimi kila baada ya muda fulani ni lazima kufanya self analysis, na kujichambua kwa makini which nimekua nikifanya all the times na this time nikaamua kwamba wakati umefika wa kwueka kalamu chini, nia na madhumuni ni kutafuta nafasi kubwa zaidi ya kusikika kwa taifa nina options nyingi ambazo ninajaribu ku-figure out ipi itakidhi matakwa yangu, lakini ya kuchangia siasa kwenye hii forums, kwa sasa ninaamini kwamba nimefika mwisho.

Also, ni wakati muafaka pia wa kuwapa nafasi vijana wengi wanaochipukia, unajua wenye akili nyingi wanasema siku zote kuwa ukiingiia mahali popote hakikisha kwamba isku ya kuondoka umepaacha pakiwa better then ulivyopakuta, nafikiri ninaiacha JF ikiwa bora zaidi ya nilivyoikuta, and I am proud of that, nilipoingia JF kwa kuombwa na wamiliki wa then Mike na Fillga, nikitokea BCS niliikuta JF au TEF, ikiwa in a very bad shape, yaani mchango mmoja in two mpaka three days, lakini kwa kushirikiana na members wengine kama Mkwawa, Kimbembe, Mtanzania, Mkandara, Mwanakijiji, Lunyungu, PM, Ogah, Mpaka Kieleweke, na wengineo tulifanya kazi kubwa sana mpaka leo JF imekua a strong Taasisi kwa taifa.

Katika kuwepo kwangu hapa nimejitahidi sana kuchangia as much as I could, I gave it all na sasa naomba kupumzika na kuwaachia wengine waendeleze libeneke, in the meantime ninaumiza kichwa kuamua what should be next lakini soon nitakuwa na uamuzi kwa sababu kwangu siasa ni mylife kwa hiyo siwezi kukaa tu bila something. Again ninaomba kuwaomba msamaha wote tuliokwaruzana na pia kuwasamehe wote tuliokoseana, nia na madhumuni on my part ilikuwa ni taifa mbele tu na sio anything else. Ninaomba kuwashukuru wanachama wote wka ushirikiano mkubwa sana tuliowahi kuwa nao hapa JF na nje ya hapa kwa wengine, pia Mkuu Invisible pokea slaam zangu za heri na dhati kwa kazi yako nzito na uvumilivu mkubwa sana ulionao katika kuiendeleza hii JF maana yako sio kazi rahisi.

Kwa hayo machache naomba kuweka kalamu chini, nipo kila ninapokuwa na muda kwa pembeni, otherwise nawatakia mafanikio mema na nikihitajika sipo mbali sana.

JF mbele na taifa mbele zaidi. Respect!

Wazee wa sauti ya umeme - FMES!

Shapu Re: Field Marshall ES yuko wapi?

Mkuu FM ES,
Kila la heri ila kubali uko-addicted to hii kitu inayoitwa JF. Angalia bado unaendelea kukata nyanga. Hope you will come back soon baada ya mapumziko...


- Respect!
 
Mkuu FM ES. Nakutakia kila la heri katika mapambano ya kumaliza au kupunguza ufisadi. Jambo muhimu ni kuwa umeonyesha ule msimamo wako thabiti katika kutetea jambo ambalo unajua ni la kweli na dataz zinakuwepo. Upo tayari kuhitilafiana na member kwenye jambo hata kama ni member rafiki, jambo ambalo ni kwa maslahi ya taifa hili.

Ninachokupendea ni kwamba huwa unaaga then unarudi tena. Hivyo usikawie kurudi tena hapa Jamvini, tena kwenye Jukwaa la Siasa. You deserve the best. Cheers and goodbye.
 
Originally Posted by Field Marshall ES
1.

2.

Wakuu wote hapo juu heshima mbele sana nimeupata ujumbe wenu jana baada ya kutumiwa na member mmoja hapa, ukweli ni kwamba kuanzia tarehe 22/2/09 ulikuwa ndio mwisho wangu wa kujihusisha na kuchangia mijadala ya siasa hapa JF, baada ya miaka mingi hapa nilifikia uamuzi kwamba nimefika mwisho.

Nimeitumikia JF kwa hali na mali, na I gave everything as far as siasa is concerned, unajua kwa mwanasiasa kama mimi kila baada ya muda fulani ni lazima kufanya self analysis, na kujichambua kwa makini which nimekua nikifanya all the times na this time nikaamua kwamba wakati umefika wa kwueka kalamu chini, nia na madhumuni ni kutafuta nafasi kubwa zaidi ya kusikika kwa taifa nina options nyingi ambazo ninajaribu ku-figure out ipi itakidhi matakwa yangu, lakini ya kuchangia siasa kwenye hii forums, kwa sasa ninaamini kwamba nimefika mwisho.


1.
Mkuu FM ES,
Kila la heri ila kubali uko-addicted to hii kitu inayoitwa JF. Angalia bado unaendelea kukata nyanga. Hope you will come back soon baada ya mapumziko...

2.
Maane Re: Field Marshall ES yuko wapi?

Mkuu FM ES. Nakutakia kila la heri katika mapambano ya kumaliza au kupunguza ufisadi. Jambo muhimu ni kuwa umeonyesha ule msimamo wako thabiti katika kutetea jambo ambalo unajua ni la kweli na dataz zinakuwepo. Upo tayari kuhitilafiana na member kwenye jambo hata kama ni member rafiki, jambo ambalo ni kwa maslahi ya taifa hili.

Ninachokupendea ni kwamba huwa unaaga then unarudi tena. Hivyo usikawie kurudi tena hapa Jamvini, tena kwenye Jukwaa la Siasa. You deserve the best. Cheers and goodbye.

- Respect!
 
Nakuona FMES....mapumziko hayakaliki
 
Hivi wewe umeanza kumjua lini Mzee Es?

- Anyways, shukrani Mkulu mwenzangu, sasa naomba kuweka kalamu chini na sitaigusa hii topic tena, maana nimetoa majibu ya maswali karibu yote na samahani kwa wale ambao sikuwaridhisha na majibu yangu, lakini nimejaribu kadri ya uwezo wangu kujibu maswali yote kwa uwezo nilionao.

Otherwise, ninawatakia safari njema na mafanikio, I am always a JF member tena for life, lakini for now ninakaa pembeni na uwanja wa siasa na ni kwa nia njema sana ili pia kushughulika na siasa kwa njia zingine, juzi wameshuka mawaziri wawili na wabunge kumi niko nao hapa, watakuwepo mpaka week end, halafu atashuka mbunge mwingine nitaenda naye Iowa na Tokyo, na kupitia London, na nikirudi ninapoishi tutakuwa na CDF kwa hiyo tunaendelea na siasa kama kawaida, mafisdi wamechacha na so far wameshinda, lakini tutaendelea kujipanga upya na kukomaaa nao, maana sasa tunanunua Dowans ya Rostam.

Sasa ninaweka kalamu chini, Mungu Aibariki Tanzania, Aibariki JF na A luta continua! na Respect kwa wote wana-JF na pia heshima zangu kwa watawala wa JF kwa kunipa hii nafasi bila matatizo, mbarikiwe.

Mawasiliano yangu ni either ni-PM, au : mtuwameli(at)yahoo.com

Wazee wa sauti ya umeme - FMES!
 
Last edited by a moderator:
Dua alionekana kati ya jana au juzi hapa JF.......si kwenye Siasa though
 
Kyoma you are missed........hebu jitokeze tule busara zako kidogo
 
Pia kuna Ushirombo&Pundit pia wameadimika.Mwafrika wa Kike???
 
Back
Top Bottom