Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,077
Kwa nini huwezi kuchangia Mkuu?Mimi nipo sana ila lately JF ilivamiwa na boom la habari za Rostam na Mengi, hizi huwa siziwezi kuchangia. Huwa nazisoma tu. Jamvi hili hatuwezi kulitupa. Btw, tusisahau kuwakilisha michango yetu kwa ajili ya JF.